MKAY~TZ WhatsApp Channel

MKAY~TZ

14 subscribers

About MKAY~TZ

Ukweli mtupu ๐Ÿ—ฃ๏ธ ๐Ÿ‡ซ๐• ๐Ÿ‡ฎ๐• ๐Ÿ‡ผ https://whatsapp.com/channel/0029Vaxrqy72phHL54Ew3Z2u

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

MKAY~TZ
MKAY~TZ
5/27/2025, 4:24:19 AM

MASIKU KUMI YA DHUL-HIJJAH.๐Ÿ•‹. โ–ซ๏ธkufunga siku 9 za mwanzo wa Dhul-Hijjah - pamoja na Siku ya Arafat (siku ya 9) sio lazima lakini inapendekezwa sana (mustahabb) na ina malipo makubwa. kwa sababu hizi ni katika siku zinazo pendwa zaidi na Mwenyezi Mungu ๐ŸŒŸSiku ya Arafa (9 Dhul-Hijjah) โ†’ Kufunga ni sunnah muโ€™akkadah (sunnah iliyosisitizwa sana) kwa wale wasiohiji. Mtume (Swalla Allaahu โ€˜alayhi wa aalihi wa sallam) amesema kufunga kwenye siku ya Arafa kunafuta madhambi ya mwaka uliopita na mwaka ujao. (Muslim) โ–ซ๏ธIkiwa uko kwenye Hajj โ†’ Hupaswi kufunga Arafa kwa sababu Mtume hakufunga akiwa amesimama Arafat. Kwa hivyo, wewe si mwenye dhambi usipofunga, lakini unakosa thawabu kubwa ikiwa unaweza kufunga - hasa siku ya Arafat. ๐Ÿ”ทSiku 10 za kwanza za Dhul Hijjah 2025 zinatarajiwa kuanza tarehe 28 Mei jumatano 2025, kufuatia kuonekana kwa mwezi. Tarehe 9 Dhul Hijjah (Siku ya Arafah) itakuwa tarehe 5 Juni 2025 na tarehe 10 Dhul Hijjah (Eid al Adha) itakuwa tarehe 6 Juni 2025. โ˜˜๏ธAllah atujaalie uzima tupate kufunga sunnah hii iliyo bora ๐Ÿคฒ โ•โ•โ•โ•โ• โœฅ.โ–.โœฅ โ•โ•โ•โ•โ• #mkaytz #masiku 10ya Dhul hija#islam lifeโ™ฆ๏ธ๐Ÿ”ท

Post image
โค๏ธ ๐Ÿ‘ 2
Image
MKAY~TZ
MKAY~TZ
6/13/2025, 2:31:04 PM

๐ŸŒบ๐—™๐—”๐——๐—›๐—œ๐—Ÿ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—›๐—œ๐—๐—๐—”๐—› ๐ŸŒบ ๐Ÿ”ŠAmesema Nabii wa Allah (Muhammad) ๏ทบ "Atakayehiji kwa ajili ya Allah akawa hajasema mambo ya kipuuzi na wala hakufanya mambo machafu, basi atarejea (nyumbani kwake akiwa hana dhambi) kama siku aliyomzaa mama yake." ๐ŸŒน Sahihi Bukhari ๐ŸŒน #mkaytz #islam-life #mkay updates

Post image
Image
MKAY~TZ
MKAY~TZ
1/30/2025, 8:45:04 PM

๐ŸŒŽ๐—ง๐—”๐—”๐—ฅ๐—œ๐—™๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—˜๐—ญ๐—œ ๐— ๐—จ๐—”๐—ก๐——๐—”๐— ๐—ขโ˜ช๏ธ ,,๐ŸŒŸLEO IJUMAA TAYARI TUMEINGIA NDANI YA MWEZI WA SHAABAN MOSI 1446H SAWA NA TAREHE 31/01/2025. BADO KAMA SIKU 29 AU 30 SASA TUINGIE NDANI YA MWEZI *MTUKUFU WA RAMADHAAN* , TUNAMUOMBA ALLAH ATUFIKISHE SALAM RAMADHANI. AAMIYN๐Ÿคฒโ•โ•โ•โ•โ• โœฅ.โ–.โœฅ โ•โ•โ•โ•โ• #Mkay tz

โค๏ธ 1
Image
Link copied to clipboard!