Find WhatsApp Channels
Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.
Channels & Posts for #crj900
Posts
NEWSAERO l'hebdo_Parution 121 Semaine 23 June 2025.pdf
*GOOD_TO_KNOW | NEWSAERO l'hebdo, PARUTION 121, SEMAINE 23, Juin 2025* Bonjour cher.e.s lecteur.ice...
Camair-Co Adds Wetleased CRJ900
En 🇬🇧 *#GOOD_TO_KNOW | Camair-Co Adds Wetleased CRJ900* Camair-Co is making efforts to su...
Aviation Tanzania on Instagram: "Manusura wa ajali waishitaki Delta Airlines, wakidai fidia nyingine zaidi ya M.77 walizopewa. Abiria wawili walionusurika katika ajali ya ndege ya Delta Airlines aina ya CRJ-900 wameifungulia mashtaka kampuni ya Delta Airlines huku manusura mmoja, mwanaume kutoka Texas, akidai kuwa alipata majeraha makubwa alipokuwa "akining’iniza kichwa chini" huku "akimwagikiwa na mafuta ya ndege" wakati wajali hiyo. Bwana huyo ameandika katika madai yake, kuwa ajali hiyo imemsababishia "msongo mkubwa wa mawazo na mfadhaiko kiakili" pamoja na majeraha kwenye kichwa, shingo, mgongo, magoti na uso hivyo anastahili kupata kiasi kingine cha pesa tofauti na kiasi cha dola 30,000 (sawa na Milioni 77 za Kitanzania) ambazo zimetangazwa kutolewa kwa kila manusura wa ajali hiyo. Madai mengine yametolewa na mwanamke kutoka Minneapolis akidai kuwa alipata majeraha makubwa ya kimwili na kiakili kutokana na ajali hiyo. Mwanamama huyo ameeleza katika madai yake kuwa wahudumu wa ndege walishindwa kufuata "taratibu za msingi za kutua kwa usalama" katika uwanja wa ndege wa Toronto. Kwa mujibu wa Mkataba wa Montreal, ambao unasimamia fidia kwa abiria katika ajali za ndege kimataifa, kuna uwezekano wa kesi zaidi kufunguliwa dhidi ya Delta Air Lines. Endapo abiria wote 76 watakubali fidia iliyotangazwa na kampuni hiyo, Delta italazimika kulipa jumla ya dola milioni 2.3 (zaidi ya shilingi bilioni 7.7 za KiTanzania). Hata hivyo, madai yaliyofunguliwa yanaweza kuongeza gharama za fidia iwapo mahakama itaamua kwamba waathirika wanastahili malipo makubwa zaidi kutokana na madhara waliyoyapata. Hadi sasa, Delta haijatoa tamko rasmi kuhusu kesi hizo mpya, lakini wachambuzi wa sheria wanasema kuwa kampuni hiyo inaweza kukabiliwa na madai mengi zaidi kadri uchunguzi wa ajali hiyo unavyoendelea. . #planecrash #crj900 #toronto #deltaairlines #accident #safety #aircraft #aviationtanzania✈ #aviationta"
https://www.instagram.com/p/DGYs8dctPF1/?igsh=MWszMHBydWdha2xpdA== *Manusura wa ajali waishitaki D...
Aviation Tanzania on Instagram: "Delta Airlines kuwalipa fidia ya $30,000 abiria waliopinduka na ndege Toronto. Kampuni ya ndege ya Delta Air Lines imetangaza kuwalipa fidia ya dola 30,000 kila abiria aliyekuwa ndani ya ndege iliyopata ajali na kupinduka wakati wa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Pearson, Toronto, siku ya Jumatatu ya Februari 17,2025. Msemaji wa kampuni hiyo, amesema kuwa mpango wa fidia ni sehemu ya msaada wa kampuni kwa abiria waliokumbwa na ajali hiyo hiyo, akisisitiza kuwa fidia hiyo haitaathiri haki zao zozote za kisheria. Timu ya huduma ya Delta Care imekuwa ikiwasiliana na abiria ili kuwaarifu kuhusu fidia hiyo. Ndege hiyo,ilikuwa katika safari namba 4819, ilikuwa imebeba watu 80, wakiwemo abiria 76 na wafanyakazi wanne. Kufikia Jumatano asubuhi,abiria 20 kati ya abiria 21 waliokuwa wamelazwa hospitalini, walikuwa tayari wamepewa ruhusa ya kurudi nyumbani baada ya matibabu na hakuna vifo vilivyoripotiwa katika ajali hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Delta Air Lines, Ed Bastian, akizungumza na chombo cha habari cha CBS Mornings, alisema kuwa ndege hiyo ilikuwa ikiendeshwa na kampuni tanzu ya Delta, Endeavor Air, na kuwa marubani walikuwa na uzoefu wa kutosha na mafunzo ya kukabiliana na hali yoyote. Bodi ya Usalama wa Usafiri nchini Canada (TSB) inaendelea kuchunguza chanzo cha ajali hiyo. Aidha, wachunguzi kutoka Bodi ya Kitaifa ya Usalama wa Usafiri ya Marekani (NTSB) na Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Shirikisho (FAA) pia wapo katika eneo la tukio kwa uchunguzi wa kina. . #planecrash #crj900 #toronto #deltaairlines #accident #safety #aircraft #aviationtanzania✈ #aviationta"
https://www.instagram.com/reel/DGTSKdqtRzp/?igsh=MTV0MnM2enlya2txZg== *Delta Airlines kuwalipa fidi...
Ignite Media Zimbabwe | WhatsApp Channel
Wednesday 19 February 2025 *EVENING NEWS UPDATES* _• USD: ZiG Official Exchange – Z$25.69_ • _...
A Delta flight crashed and overturned while landing in Toronto. Here’s what we know | CNN
https://edition.cnn.com/2025/02/18/us/what-we-know-delta-plane-crash-canada/index.html All 80 peopl...
SHUBOUDHAY TOP NEWS | WhatsApp Channel
╭────────────────╮ 🌄 🇮🇳𝐒𝐇𝐔𝐁𝐎𝐔𝐃𝐇A𝐘🙏 𝕴𝖓𝖉𝖎𝖆`𝖘 1𝖘𝖙 𝖂𝖍𝖆𝖙𝖘𝖆𝖕𝖕 𝕹𝖊𝖜𝖘, 𝓼𝓲�...
ALL 80 PASSENGERS SURVIVED AFTER DELTA PLANE CRASH...
ALL 80 PASSENGERS SURVIVED AFTER DELTA PLANE CRASH AT TORONTO AIRPORT Delta Flight 4819 from Minnea...
🇨🇦CANADÁ 🚨✈️| *Momento en que avión de Delta ...
🇨🇦CANADÁ 🚨✈️| *Momento en que avión de Delta se vuelca* al aterrizar en Toronto > Una imagen c...
A Delta flight crashed and overturned while landing in Toronto. Here’s what we know | CNN
A Delta Air Lines flight from Minneapolis crashed, turned upside down and caught fire on the runway ...
🇨🇦 | *Momento en que avión de Delta se vuelca* a...
🇨🇦 | *Momento en que avión de Delta se vuelca* al aterrizar en Toronto > Una imagen clara del Del...