Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #runways

Posts

The special operation “Spiderweb” to destroy Russi...

The special operation “Spiderweb” to destroy Russian strategic bombers deep inside Russian territory...

Runways in remote lands, tunnels through the tough...

Runways in remote lands, tunnels through the toughest terrains — PM Modi is not just changing how In...

*📚Book Recommendation📚* *💙THREADS DESIRE💙* *👩...

*📚Book Recommendation📚* *💙THREADS DESIRE💙* *👩GREGORY ELLINGTON* *📙 Romance BXG City Billionair...

Aviation Tanzania on Instagram: "Upepo wa injini za ndege kivutio kwa watalii katika Uwanja wa Princess Juliana. Licha ya hatari zinazohusiana na upepo mkali wa injini za ndege (jet blast), huko St. Maarten katika Uwanja wa Ndege wa Princess Juliana, watalii hujitokeza kwa wingi kushuhudia na kufurahia upepo huo unaotokana na injini za ndege wakati ndege inapojiandaa kuanza safari. Pamoja na kuwepo kwa alama za onyo katika maeneo ya karibu na barabara za kurukia ndege (runways), baadhi ya watalii husimama kwa makusudi nyuma ya ndege ili kupata msisimko wa kihisia (adrenaline) kwa kuhisi kishindo cha upepo huo mkali. Jet blast ni upepo wenye kasi kubwa na joto kali, unaotokana na hewa inayotolewa na injini ya ndege kwa nguvu nyingi. Wakati injini inapofanya kazi, husukuma hewa kwa kasi ya zaidi ya kilomita 800 kwa saa (sawa na maili 500 kwa saa), hali inayoufanya upepo huo kuwa na nguvu ya kipekee na hatari kwa binadamu. #jetblast #engine #tourist #princessjulianaairport #aviationenthusiast #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DKsW6WAs0KI/?igsh=ejlrbzJ2YWtvdzgx *Upepo wa injini za ndege kivutio...

Aviation Tanzania on Instagram: "Upepo wa injini za ndege kivutio kwa watalii katika Uwanja wa Princess Juliana. Licha ya hatari zinazohusiana na upepo mkali wa injini za ndege (jet blast), huko St. Maarten katika Uwanja wa Ndege wa Princess Juliana, watalii hujitokeza kwa wingi kushuhudia na kufurahia upepo huo unaotokana na injini za ndege wakati ndege inapojiandaa kuanza safari. Pamoja na kuwepo kwa alama za onyo katika maeneo ya karibu na barabara za kurukia ndege (runways), baadhi ya watalii husimama kwa makusudi nyuma ya ndege ili kupata msisimko wa kihisia (adrenaline) kwa kuhisi kishindo cha upepo huo mkali. Jet blast ni upepo wenye kasi kubwa na joto kali, unaotokana na hewa inayotolewa na injini ya ndege kwa nguvu nyingi. Wakati injini inapofanya kazi, husukuma hewa kwa kasi ya zaidi ya kilomita 800 kwa saa (sawa na maili 500 kwa saa), hali inayoufanya upepo huo kuwa na nguvu ya kipekee na hatari kwa binadamu. #jetblast #engine #tourist #princessjulianaairport #aviationenthusiast #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DKsW6WAs0KI/?igsh=ejlrbzJ2YWtvdzgx *Upepo wa injini za ndege kivutio...

*The Dawn of Dead and Alive Missiles: Operation Si...

*The Dawn of Dead and Alive Missiles: Operation Sindoor* During Operation Sindoor, we aim to demons...

✈️ Telangana’s Airport Boom! By 2027, Telangana wi...

✈️ Telangana’s Airport Boom! By 2027, Telangana will have 3 airports! 🛫 New airports coming to War...

Top 10 Longest Airport Runways in the World

https://aviationa2z.com/index.php/2025/06/06/top-10-longest-airport-runways-in-the-world/

*Top 6 Jobs of the day* *Dar* is hiring for *Airp...

*Top 6 Jobs of the day* *Dar* is hiring for *Airport Engineer* Dar is seeking a skilled hashtag#Ai...

Aviation Tanzania on Instagram: "Akamatwa akiendesha Gari Kwenye Eneo Lililozuiliwa, Uwanja wa Ndege wa O’Hare. Mwanaume mwenye umri wa miaka 36 amekamatwa baada ya kuendesha gari hadi katika eneo lililozuiliwa (Secured areas) la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa O’Hare, na kupita katika njia za kurukia na kutua ndege (runways). Tukio hilo lilitokea Mei 20, 2025, ambapo mwanaume huyo aliripotiwa kuendesha gari kwa umbali wa maili kadhaa ndani ya uwanja huo kabla ya kukamatwa na mamlaka husika. Kwa mujibu wa polisi, mwanaume huyo aliingia katika eneo hilo bila kukusudia pasi na kibali wala mamlaka ya kisheria ya kuwepo hapo. Huku mamlaka za usalama zikiendelea kukabiliwa na shinikizo la kuzuia watu kuingia kiholela katika njia za kurukia ndege na maeneo ya ndege katika viwanja vikuu vya ndege nchini Marekani, hatua kali zimeanza kuchukuliwa,dhidi ya watu wanaopenya katika maeneo hayo kwa njia za siri kupitia vizuizi au uzio, pamoja na utoaji wa taarifa kuhusu matukio hayo ya ukiukwaji wa usalama. #airport #truckdrivers #ohareairport #securedareas #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DKgsrqAtvdi/?igsh=MXQ0ZGxrNjM0ZjZzeA== *Akamatwa akiendesha Gari Kwe...

Brazen drone strike showcases Ukrainian innovation as war grinds on

For 18 months, Ukraine’s internal security service planned an audacious assault on far-flung Russian...

Highfield to High Fashion: Yemurai Chabuka's Stitc...

*Highfield to High Fashion: Yemurai Chabuka's Stitch in Time* From the vibrant streets of Highfield...