Tanzania Institute of Accountancy (TIA) WhatsApp Channel

Tanzania Institute of Accountancy (TIA)

14.8K subscribers

Verified Channel

About Tanzania Institute of Accountancy (TIA)

Ukurasa rasmi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/20/2025, 10:50:53 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/20/2025, 10:50:52 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/20/2025, 10:50:54 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/20/2025, 10:50:53 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/19/2025, 12:33:06 PM

🎓 Upgrade your career with TIA! Apply now for Postgraduate Diplomas in: 📘 Accounting | 📦 Procurement | 📊 Project Mgmt 💼 Business Admin | 💰 Financial Mgmt 👉 oas.tia.ac.tz #TIAEducationForEfficiency #ApplyNow #tiaelimukwaufanisi #tiatanzaniaupdates

Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/20/2025, 10:50:03 AM

TIA YAENDELEA KUTOA HUDUMA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 📍Chinangali, Dodoma 🗓️ 20 Juni 2025 Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) inaendelea kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni 2025. Ikiwa leo ni siku ya tano tangu kuanza kwa maadhimisho haya, TIA inaendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi, ikiwemo elimu kuhusu majukumu ya taasisi katika kutoa mafunzo ya kitaaluma kwenye nyanja za uhasibu, ununuzi na ugavi, pamoja na fani nyingine za biashara na utawala bora. Aidha, elimu juu ya huduma za ushauri wa kitaalamu na tafiti zinazolenga kuongeza tija katika sekta ya umma na binafsi inaendelea kutolewa kwa wageni wanaotembelea banda la TIA. Katika banda letu, tumeendelea kusisitiza umuhimu wa kuzingatia kanuni, taratibu na maadili ya utumishi wa umma, kwa lengo la kuimarisha misingi ya uwajibikaji, uwazi na uadilifu katika utoaji wa huduma kwa wananchi. #Dodoma2025 #wikiyautumishi #tiaelimukwaufanisi #tiatanzaniaupdates

Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/18/2025, 5:36:02 PM

You're invited to the 4th International Conference on Business Management and Economic Development 🗓️ 25th – 27th November 2025
📍 Gold Crest Hotel - Mwanza Connect, exchange ideas, and gain insights alongside global experts, researchers, and professionals in the fields of business and economics. Be part of this impactful and inspiring event #tiaelimukwaufanisi
#ICBME2025
#BizDev
#mwanza2025

Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/14/2025, 11:37:14 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/14/2025, 11:37:14 AM
Post image
Image
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
6/14/2025, 11:37:01 AM

TIA YAPOKEA WAGENI KUTOKA WIZARA YA ELIMU KUFUNGA UKAGUZI WA MRADI WA HEET Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) imepokea ugeni kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa ajili ya kufunga rasmi kikao cha ukaguzi na tathmini ya utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET). Kikao hicho kilikuwa sehemu ya ukaguzi wa kawaida wa utekelezaji wa mradi huo, ambapo wageni kutoka Wizara ya Elimu walieleza kuridhishwa kwao na hatua kubwa zilizopigwa na TIA katika utekelezaji wa HEET. Aidha, walipongeza juhudi za taasisi hiyo katika kuboresha miundombinu, hususan katika kampasi za Singida na Mwanza. Wakizungumza wakati wa kikao hicho, viongozi hao walisisitiza umuhimu wa TIA kuendeleza kasi ya utekelezaji ili kuhakikisha malengo ya mradi yanatimia kikamilifu, huku ikiendelea kuzingatia taratibu na miongozo iliyowekwa na Benki ya Dunia. Viongozi hao pia walitoa wito kwa TIA kuendelea kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali katika sekta ya elimu ili kuimarisha ubora na ushindani wa elimu ya juu nchini. TIA inaendelea kujivunia kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Mradi wa HEET, ambao unalenga kuimarisha ubora, upatikanaji, na uhusiano wa elimu ya juu na mahitaji halisi ya soko la ajira, hivyo kuchangia moja kwa moja katika mageuzi ya kiuchumi ya taifa. #tiaelimukwaufanisi #tiatanzania #tiatanzaniaupdates

👍 1
Link copied to clipboard!