Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #aviationsafety

Posts

India’s aviation watchdog directs Air India to con...

India’s aviation watchdog directs Air India to conduct checks on fuel parameter monitoring systems t...

🚨 #BREAKING: Indian govt directs Airports Authori...

🚨 #BREAKING: Indian govt directs Airports Authority-run airports to review emergency preparedness p...

✈️ #IndiaPlaneCrash Update: Govt directs Air Indi...

✈️ #IndiaPlaneCrash Update: Govt directs Air India to conduct safety inspections on 8 out of 9 Boei...

The importance of building a robust safety culture within the general aviation sector emphasized

Arrive Alive ■The importance of building a robust safety culture within the general aviation secto...

Aviation Tanzania on Instagram: "Abiria apaka mafuta ya upako kwenye ndege kabla ya kupanda,kujikinga na ajali. Kufuatia ongezeko la ajali za ndege nchini Marekani, mwanamke mmoja katika mji wa Orlando jimbo la Florida ameonekana akipaka mafuta ya upako kwenye ndege kabla ya kupanda akiamini kuwa ndio kinga dhidi ya ajali. Katika video iliyochapishwa na Desiree Salter, Jumamosi ya Februari 15 ilimuonyesha akifanya tendo hilo huku akisali kabla ya kuingia ndani ya ndege. Kitendo hiki kimeibua mijadala, hasa katika wakati huu ambapo wasiwasi umetawala kwa baadhi ya abiria wakihofia usalama katika safari za anga kufuatia matukio kadhaa ya ajali za ndege nchini Marekani na sehemu nyingine duniani. Ripoti mbalimbali zimeonyesha kuwa ongezeko la ajali limefanya baadhi ya wasafiri kuchukua tahadhari zisizo za kawaida kabla ya kupanda ndege. . #planecrash #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviatamedia #aviationsafety #aviata #aviatamedia"

https://www.instagram.com/reel/DGgTZO8to1t/?igsh=MW4yenp2Z2x6ZmY5Yg== *Abiria apaka mafuta ya upako...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katika mahojiano na katibu wa Mfuko wa Mafunzo chini ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Bi. Massa Mubuli, ameeleza gharama zilizotumika katika ufadhili wa masomo ya urubani na uhandisi wa ndege kwa kila mnufaika, ambapo imeelezwa kuwa, kila rubani aligharamiwa shilingi milioni 200 za Kitanzania hadi kukamilisha masomo, na kwa upande wa wahandisi kila mmoja aligharamiwa Shilingi milioni 70. Fuatilia mahojiano kamili kupitia chaneli yetu ya YouTube @aviationtanzania. Bonyeza link kwenye bio yetu. . #aviationcareer #tcaatrainingfund #scholarship #aviation #aviationsafety #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGOck6YNI-q/?igsh=MW1ocnE4dnFveW95MA== Katika mahojiano na katibu wa...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katibu wa Mfuko wa Mafunzo chini ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Bi. Massa Mubuli, amebainisha utaratibu wa urejeshaji wa gharama za ufadhili kwa wanufaika wa masomo ya urubani na uhandisi. Amesema kuwa baada ya kumaliza masomo, mnufaika atatakiwa kulipa gharama hizo kwa awamu atakapo ajiriwa,na fedha zinazorejeshwa huingizwa tena kwenye Mfuko wa Mafunzo wa TCAA ili kusaidia vijana wengine kupata ufadhili wa masomo. Fuatilia mahojiano kamili kupitia chaneli yetu ya YouTube @aviationtanzania. Bonyeza link kwenye bio yetu. . #aviationcareer #tcaatrainingfund #scholarship #aviation #aviationsafety #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGK5jV6tJDs/?igsh=MTNtMGE3MjJrMThvNQ== Katibu wa Mfuko wa Mafunzo c...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katika mahojiano maalum na Bi. Massa Mumburi, Katibu wa TCAA Training Fund, ameweka wazi kuwa mfuko huo umefadhili masomo ya urubani na uhandisi wa ndege kwa vijana 23 wa Kitanzania hadi sasa.Huku akiongeza kuwa fursa nyingine za ufadhili zitaendelea kutangazwa kadri mfuko utakavyoingiza pesa. Fuatilia mahojiano kamili kupitia chaneli yetu ya YouTube @aviationtanzania. Bonyeza link kwenye bio yetu. . #aviationcareer #tcaatrainingfund #scholarship #aviation #aviationsafety #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGBZsPgNrc4/?igsh=MWZ5OTVyd3dod3V4 Katika mahojiano maalum na Bi. Ma...

Mapema mwezi uliopita, tulikuletea mahojiano maalu...

Mapema mwezi uliopita, tulikuletea mahojiano maalum na mmoja wa wanufaika wa Mfuko wa Mafunzo ya Uru...

🚨 Trump's FAA Shake-Up: Game-Changer or Safety Ri...

🚨 Trump's FAA Shake-Up: Game-Changer or Safety Risk? 🚨 Will this improve efficiency or cause chao...