Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #catc

Posts

Aviation Tanzania on Instagram: "chuo cha CATC chatunukiwa tuzo kwa Ubora Katika Mafunzo ya Usalama wa Anga. Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), kinachomilikiwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), kimetunukiwa tuzo ya kimataifa kutokana na ubora wake katika utoaji wa mafunzo ya usalama wa anga kwa mwaka 2024, hatua inayoimarisha nafasi ya Tanzania katika ramani ya usafiri wa anga barani Afrika. Katika tathmini iliyofanywa na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), CATC imeorodheshwa miongoni mwa taasisi tatu bora katika kanda ya Afrika Mashariki na Kusini (ESAF), na imeingia kwenye orodha ya taasisi tisa bora za mafunzo ya anga barani Afrika kwa ujumla. Tuzo hiyo iliwasilishwa rasmi tarehe 19 Mei 2025 katika hafla maalum iliyofanyika makao makuu ya TCAA jijini Dar es Salaam, ikihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa sekta ya anga akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Bw. Salim Msangi, alimkabidhi tuzo hiyo Mwenyekiti wa Bodi ya TCAA, Dkt. Hamis Mwinyimvua, kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa chuo cha CATC katika kukuza usalama wa anga kupitia mafunzo bora na yenye viwango vya kimataifa. #catc #aviationtraining #aviationlovers #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdate"

https://www.instagram.com/p/DJ3ykGPsn2N/?igsh=MWhhb2syamUxMXp5dg== *Chuo cha CATC chatunukiwa tuzo ...

Ndegenyuki (Drone) ni ndege isiyo na rubani inayoo...

Ndegenyuki (Drone) ni ndege isiyo na rubani inayoongozwa na mtu au ngamizi kutoka eneo la mbali na z...

Aviation Tanzania on Instagram: "Chuo cha Mafunzo ya Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) kinatarajia kuanza awamu mpya ya mafunzo ya urushaji wa ndege nyuki (drones) kuanzia April, 8, 2025. Mafunzo haya yanalenga kuwapa washiriki ujuzi wa kitaalamu katika uendeshaji wa ndege zisizo na rubani, ambazo zinazidi kutumika katika sekta mbalimbali kama sekta ya usalama, kilimo, utafiti na usafirishaji wa mizigo midogo. Kwa mujibu wa CATC, mafunzo haya yatadumu kwa muda wa wiki nne na gharama ya ada ni Shilingi milioni 1.4 za Kitanzania. Mbali na gharama za ada, mshiriki atatakiwa kulipia gharama za vipimo vya kiafya ambavyo atatakiwa kuvifanya kabla ya kuanza mafunzo. Mafunzo haya yanatarajiwa kusaidia kuongeza idadi ya marubani wa ndege nyuki waliobobea, kuendana na maendeleo ya teknolojia ya anga nchini Tanzania. #aviationtraining #dronepilot #catctanzania #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/p/DGXRyhftJbJ/?igsh=c2p4b280a3gyYngw *Chuo cha Mafunzo ya Usafiri wa Ang...

https://whatsapp.com/channel/0029Va8eEeXDuMRp2oIUA...

https://whatsapp.com/channel/0029Va8eEeXDuMRp2oIUAK0A *Important full form for NCC B & C exam* NCC...

. Jumla ya washiriki 25 wamehitimu mafunzo maalumu...

. Jumla ya washiriki 25 wamehitimu mafunzo maalumu katika Chuo cha Mafunzo ya Usafiri wa Anga Tanzan...

#Ukhrul: Cadet Chiphang Yinchisin, daughter of Chi...

#Ukhrul: Cadet Chiphang Yinchisin, daughter of Chiphan Ningmi and Muivah Wungshimla from #Hunphun vi...