Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #paa

Posts

Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya Beechcraft King Air 90 yaanguka juu ya jengo la matengenezo ya ndege na kujeruhi watu wawili. Ndege aina ya Beechcraft King Air 90 imeanguka juu ya jengo la matengenezo ya ndege (hangar) Butler Avionics, katika Uwanja wa Ndege wa New Century Air Center, uliopo katika jimbo la Kansas, Marekani, na kujeruhi watu wawili waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Ajali hiyo imetokea siku ya jana Juni 17,2025 wakati ndege hiyo ilipokuwa ikijaribu kutua,na badala ya kutua salama kwenye njia yake, ilitua moja kwa moja juu ya paa la jengo hilo. Waliokuwa ndani ya ndege hiyo ni rubani na mwanafunzi wa urubani ambao wameripotiwa kutoka Salama ndani ya ndege hiyo wakiwa na majeraha madogo na sasa wanapatiwa matibabu katika kituo cha afya kilicho karibu. #planecrash #beechcraftkingair #hangar #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DLCF-7ctTCw/?igsh=Y2hjcmc1YTZiNWE0 *Ndege ya Beechcraft King Air 90 ...

Pakistan Airport Jobs 2025 Apply Online For Pakistan Airports Authority (PAA) Career » Jobs Centre

🌟 *Pakistan Airport Jobs 2025 Apply Online for Pakistan Airports Authority (PAA) Careers* 🌟 ✅ Va...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech N...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech Now munoiwana paa Stall 21 paa Hyper City Mall* *...

whatsapp.com

Rhapsody Tahitian Sat Jun 14 2025 TE MANA O TE ORAMA E TE FERURIRAA Ua rave ihora Iakoba i te ohi...

*PART II — COMPREHENSION* ASANTE TWI ...

*PART II — COMPREHENSION* ASANTE TWI *QUESTION 2 ANSWERS✅* a. Ɔpɛ sɛ ɔtwerɛ no yie...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech N...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech Now munoiwana paa Stall 21 paa Hyper City Mall* *...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech N...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech Now munoiwana paa Stall 21 paa Hyper City Mall* *...

Pakistan Airport Authority Jobs 2025 🎯 Position: ...

Pakistan Airport Authority Jobs 2025 🎯 Position: Bird Shooter / Controller 📚 Qualification: Minimu...

Aviation Tanzania on Instagram: "Polisi Wathibitisha Hakuna Aliyenusurika Katika Ajali ya Ndege ya Air India. Polisi nchini India wamethibitisha kuwa hakuna mtu aliyenusurika katika ajali ya ndege ya Air India aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyotokea mchana wa leo, dakika chache baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Ahmedabad kuelekea London. Kwa mujibu wa mamlaka za usalama, ndege hiyo ilianguka kwenye jengo la bweni la Chuo cha Tiba cha B.J., karibu na uwanja wa ndege, na kusababisha vifo vya wanafunzi kadhaa waliokuwa ndani ya bweni hilo wakati wa ajali. Maafisa wa polisi wamesema kuwa eneo la tukio tayari limesafishwa kwa asilimia 70 hadi 80, na juhudi za kuwaokoa waliokwama zinaendelea. Shirika la habari la CNN News-18 limeripoti kuwa, sehemu ya ndege hiyo iliangukia moja kwa moja kwenye eneo la chakula la wanafunzi, likionyesha picha za mabaki ya ndege juu ya paa la jengo na moshi mzito ukifuka angani. Ndege hiyo ilikuwa ikielekea Uwanja wa Ndege wa Gatwick, kusini mwa London, ikiwa na abiria 230 na wafanyakazi wa ndege 12 (ambao wote wamepoteza maisha). Kwa mujibu wa Air India, abiria hao ni pamoja na raia 169 wa India, 53 Waingereza, 7 kutoka Ureno, na mmoja kutoka Kanada. Watoto 11 na watoto wachanga wawili. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Flightradar24, ndege hiyo ilitengenezwa mwaka 2013 na kuanza kuhudumu rasmi katika shirika la Air India mwezi Januari 2014. Rais wa Uingereza Keir Starmer na Mfalme Charles wote wametuma salamu za rambirambi, huku serikali ya Uingereza ikieleza kuwa inashirikiana kwa karibu na India kufuatilia tukio hilo na kuwasaidia raia wake waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alieleza majonzi yake kupitia ukurasa wake wa X akieleza kuwa ajali hiyo ni ya kuhuzunisha na anaungana kwa pamoja na familia zote zilizoathirika katika kipindi cha maombolezo. Kampuni ya Boeing imethibitisha kuwa inafuatilia kwa karibu tukio hili na imeanza kushirikiana na mamlaka za India kuchunguza chanzo cha ajali. Hii ni ajali ya kwanza inayohusisha vifo kwa ndege ya aina ya Dreamliner tangu ianze kutumika mwaka 2011. #planecrash #airline #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DKzUSkwNDdj/?igsh=MTIwdWdyazllYTlkeQ== *Polisi Wathibitisha Hakuna Aliy...

`agar maa batadu mera dil paa kaya haa` 🥹❤️‍🩹...

`agar maa batadu mera dil paa kaya haa` 🥹❤️‍🩹

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech N...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech Now munoiwana paa Stall 21 paa Hyper City Mall* *...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech N...

_Stall 21_ _Stall 21_ _Stall 21_ *Yes Tyke Tech Now munoiwana paa Stall 21 paa Hyper City Mall* *...