Zeelakudisi WhatsApp Channel

Zeelakudisi

606 subscribers

About Zeelakudisi

🌿Tiba asilia jiunge nami👇 Follow x.com/@zeelakudisi

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/2/2025, 3:15:53 PM

Kuna mambo mengi yanaendelea katika maisha yetu bila kujua mara nyingi tunabaki kuangaika tu na kujiona tumerogwa kumbe Kuna viumbe kazi yao kubwa ni kuaribu na kuvuruga mipango na maisha yetu Kuna nafsi ambazo zinaingia kwenye miili yetu na kutawala nguvu zetu akili zetu na ufahamu wetu na hapa ndipo unakuta watu wanaishi pasipo kujua mradi kaamka kala kalala basi ukimwambia kazi atakua adui yako ukimwambia ndoa atakua adui yako yeye anaishi tu atakavyo kumbe sio yeye tayari hapo keshatekwa na viumbe na kumfanya vile watakavyo unakuta mtu anataka kujitibia anaona uzito fulani akili fulani inakataa kumuambia huwezi kupona jua akili yako imeshikwa na majini mabaya mwlini unakuta unataka kufanya kitu ila akili inakataa naomba nikusaidie chukua mafuta haya 👉Alizeti 👉Lavender 👉Sandalwood 👉Chamomile Changanya jipake Kila siku usiku CHUKUA MAJANI HAYA UJIFUSHE 👉Kivumbasi 👉Mnana 👉Mwinga jini 👉mvunja homa 👉mkaratusi majani 👉Mlangamia kamba Tumia nyungu kujifusha siku saba utaondoa nguvu mbaya mwilini mwako na majini mabaya kujifungua mwili wako.

👍 ❤️ 😢 5
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/2/2025, 9:39:42 PM

Unaweza kujiunga na group la kujifunza vitu zaidi lipia hapo (maelezo yapo kwenye description) Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/EA8VMj36nuR8vfPvjdep3e

👍 1
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/8/2025, 1:08:18 PM

NYUMBA INAYOCHEZEWA NA WACHAWI Kujua kama nyumba yako inachezewa na wachawi Nenda katika mmea wa mkunde pori. Taratibu, piga magoti kabla haujanzaa kuchimba mzizi wa mti huu utanuia manuizi ya kwanini unautaka mzizi huo. Baada ya manuizi utauchimba mzizi wa mmea huo pamoja na mti wake kisha utaondoa matawi yote pamoja na majani. Baada ya hapo utarudi nao kwako kisha utauweka sehemu ya wazi katika chumba unacholala. Hakikisha sehemu uliouweka mzizi huo unapakumbuka vizuri, (Usiweke alama ya aina yoyote sehemu ulipouweka)Sasa, unaweza kulala usiku na kuuacha hapo. Ikiwa Asubuhi utakuta umehamishwa hata kidogo kutoka sehemu ulipokuwepo basi fahamu kuna mchawi aliingia katika nyumba yako. Ikiwa utakuta haujatolewa sehemu ulipokuwepo basi fahamu kwa asilimia 90% hakuna mchawi alieingia katika nyumba yako.

👍 2
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/9/2025, 3:44:21 PM

Tafuta chupa ya lita moja hata nusu lita au vile vichupa vinavyouzwa vya maji, chukua Karafuu vijiko vitano au sita , weka na chumvi kiasi na kama una asali weka asali itakuwa bora zaidi tumia kwa kuswakia asubuhi na jion baada ya kula Nyongeza ya maelezo : Ukichukua unga wa karafuu weka na chumvi kiasi au kama una asali chukua unga wa karafuu changanya na asali loweka kwa siku 7 siku ya nane anza kutumia kuswakia Angalizo ili kuleta matokeo chanya epuka matumizi ya dawa hizi zinazoitwa dawa za meno harufu itaondoka Ugonjwa wa meno utabaki historia kwako maumivu ya kinywa, Utayasikia kwenye magazeti Hii Ina uwezo wa kukaa miezi miwili mpaka mitatu bila kuharibika NB: Nini kitatokea kama ukiamua kuacha kuswaki kwa toothpaste(dawa za mswaki za madukani) kuanzia leo?? Narudia tena ugonjwa wa Meno utabaki historia kwako, maumivu ya kinywa, utayasikia kwenye magazeti pendekeza kuswaki kwa 👉JUISI YA KARAFUU 👉Mkaa 👉Majivu 👉Kitawi cha mkaratusi 👉Chumvi 👉Limao 👉Mmea unaoitwa Mswaki Wengi najua watauliza juu ya hii dawa... Je, tunaweka na maji? Jibu ni ndio maji ni muhimu weka maji lita moja au nusu lita (viungo kadiria kulingana na kiasi cha maji uliyoweka) ili mradi tu ikolee Kisha mchanganyiko wako uache kwa siku 7, siku ya nane anza matumizi sasa.

👍 🙏 5
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/12/2025, 7:11:53 PM

TIBA YA KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUME. Tafuta uume wa punda, uwatu, mafuta ya tembo, tunda la mti wa muegea,mafuta ya zaituni, mafuta ya mnyonyo, samaki umeme, mizizi ya migomba ya ndizi saga dawa zako zinazotakiwa kusagwa kisha uchanganye na hayo mafuta kisha utakuwa unajipaka kwenye uume wako kutwa mara tatu mpaka utakapoona wewe mwenyewe saizi ya uume wako imetosha ndipo utaacha kuitumia.

👍 3
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/13/2025, 6:57:50 AM

AINA 7 ZA LIMBWATA Mabinti baadhi wamekuwa watumiaji wazuri wa limbwata kama sehemu ya kuongeza chachu katika mahusiano yao ya mapenzi. Zifuatazo ni baadhi ya teknolojia maarufu ama niseme pendwa za limbwata. Kinyama Katika hili, kipande kidogo cha nyama mfano wa mnofu mmoja wa “mshikaki” huwekwa katika uke wa mtaka tiba, kwa muda wa siku kadhaa kulingana na masharti ama maelekezo ya mtaalam husika “fundi”, baadae kinyama hiki hupikwa na sehemu nyingine ya kitoweo kama mboga na kuliwa. Mlengwa wa limbwata ataathirika mara tu baada ya kula mlo uliohusiha mboga yenye kinyama hiki! Njia hii ni ngumu sana kumuagua mwanaume alielishwa kinyama. Maji ya mchele Hii ni aina nyingine ya teknolojia ya limbwata. Ni kwamba kwa kutumia njia hii, maji ya kawaida hupelekwa kwa mtaalam kwa ajili ya kazi husika, na kisha maji hayo hurudishwa nyumbani, mwanamke mhusika huyatumia maji ya dawa haya kuoshea uke wake na baadae huyatumia kuoshea mchele ama hata kupikia kabisa! Limbwata hili hufanya kazi kwa mlengwa baada ya mlengwa kula chakula kilichopikwa kwa maji tajwa! Njia hii ngumu sana kumuagua mwanaume alienyeshwa maji hayo, na kwamba ili kumuagua lazima apatikane fundi Yule Yule aliefanya yake! Kisomo Nyingine. Hii haisemwi sana, ni kama siri kubwa, huwa ni kisomo hufanywa lakini wateja na wafuasi wa limbwata la aina hii wanakiri kuwa, mwanaume aliesomewa huwa ni zaidi ya kondoo, kwa maana ya kuwa maisha yake yote yaliyobaki yanakuwa ni yale ya “ndio" kwa mwanamke alietengeneza! Njia hii sio nzuri sana kwa vile fundi mwingine akafanya kisomo kinyumeyoyote anaweza Kifaranga Hapa mwanamke mhitaji huagizwa na fundi kupeleka kifaranga, na mara nyingi ni cha kuku. Fundi humfanyia kazi Kifaranga huyu katika karakana yake, namna fundi anavodili na kifaranga hiki ndio ndio kazi halisi ya kumuinamisha mme ama mpenzi wa mtu, kifaranga huyu hubaki ktk himaya ya fundi kwa maisha yake yote, na namna kifaranga huyu anavolelewa na huyu fundi, na kufuata anavotaka mfugaji, ndio hivo hivo atakavopelekwapelekwa! mlengwa Njia hii inachangamoto moja kubwa, usalama na uhai wa kifaranga huwa ni tatizo. Jina kuning'inizwa juu ya mti Hii inafanana na kisomo. Tofauti ni kwamba, baada ya fundi kufanya kazi yake, huku jina la mlengwa likiwa limenuiwa, karatasi lililoandikwa jina hili (jina la mwanaume mlengwa) huenda kuning’inizwa katika moja ya mti mrefu ambao ni sharti uwe mbali na wanapoishi wapenzi ama wanandoa hao, wakati mwingine inahusisha mkoa mmoja hadi mwingine! Wanasema kusipokuwepo na upepo, mwanaume huwa mjanja mjanja, lakini upepo ukivuma kidogo tu, mwanaume huyu akili huruka na kumuwaza aliemtengeneza! Ili upone kutoka katika limbwata hili, lazima huu mti utafutwe na kikaratasi kikatwe, ndio utapona. Kaburi la mtoto Hapa kuna vitu hufukiwa, kama ilivo limbwata la hapo juu, limbwata hili linahusisha madawa na majina ya mlengwa. Kaburi husika hutafutwa maeneo ya mbali sana.Madawa na majina ya mlengwa hufukiwa katika kaburi la mtoto. Hapa huponi mpaka kaburi lipatikane na kazi ifanyike hapo! Unyayo, kucha ama kinyweleo Hapa kuna mchanganyiko wa ufundi unaotumika. Wapo wanaotumia mchanga wa unyayo, wapo wanaotumia kipande cha nywele za sehemu za siri, wengine hutumia hata chupi ya mlengwa. Yoote kwa yote ni kwamba fundi atadili na mlengwa kutumia aina mojawapo ya nyenzo hizi! Mafundi wengi inasemekana ni wataalamu wa kuagua wahanga wa njia hii.

👍 1
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/20/2025, 3:57:27 PM

Wewe unataka utajiri wa haraka nyumbani mwako chukua yai la kienyeji siku ya alhamisi mwezi ukiwa umejaa (full moon) saa 11 jioni, Zika kando ya geti uone miujiza.

👍 📌 😂 😃 🤩 6
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
2/22/2025, 4:26:39 PM

Loweka siku 3 twanga kausha juani twanga tena changanya na mafuta ya kujipakaa Dawa hii inatoa mkosi inafungua vifungo inaongeza kubuli, mvuto na kusikilizwa Mfanya biashara unaweza kuichoma katika biashara yako au duka lako kila ukifungua na ukifunga.

👍 ❤️ 🙏 5
Image
Zeelakudisi
Zeelakudisi
3/1/2025, 5:58:26 AM

Ambaye anataka kumtoa jini mchafu mwilini achukue kivumbasi asage kiwe unga achanganye na karafuu maiti na haltiti kisha awe anaoga na kunywa kidogo mda wa siku 21 hapo jini mchafu yoyote anatoka katika mwili wako.

👍 1
Image
Link copied to clipboard!