Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #pamoja

Channels

KUKUA PAMOJA TANZANIA

Welcome to the Kukua Pamoja Tanzania WhatsApp channel! We are a non-profit org...

46.5K subscribers View

Tume ya Madini Tanzania

Karibu kwenye ukurasa rasmi wa Tume ya Madini ambayo ilianzishwa kwa mujibu wa ...

5.5K subscribers View

FIC FOOTBALL Samatr Investments

FIC ni jukwaa linalojikita kwenye uwekezaji wa matokeo ya mechi za mpira wa migu...

4.2K subscribers View

Ajira Tanzania

Karibu kwenye channel yetu rasmi ya Ajira AI! 🔥💼 Tunakuunganisha na fursa bora...

1.3K subscribers View

MAISHA NI WATU

Karibu, Tuelimike Pamoja ☘️🧠 ——— Kwa uhitaji wa kutangaza biashara yako nasi, W...

898 subscribers View

ShombyInvestment

*KARIBU SANA KWENYE CHANNEL YETU* •Tuna furaha kukualika katika safari yetu ya k...

483 subscribers View

Mr Chakushangaza Elimu Solutions

𝐌𝐫 𝐂𝐡𝐚𝐤𝐮𝐬𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐳𝐚 ✩░▒▓▆▅▃▂▁ 𝐀𝐍𝐀𝐓𝐎𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐇𝐈𝐙𝐈 𝐋�...

335 subscribers View

GWIJI WA HIGHBURY

Channel kwa Ajiri ya chambuzi za Arsenal kiujumla ( Men, Women, Academy) pamoja ...

321 subscribers View

assengaonline.com

Karibu Kwenye Group la Fursa Mbali mbali za Elimu na Ajira pamoja na habari mbal...

247 subscribers View

Kigoma Region Tanzania

Jumuiya ya Watu wa Kigoma (Kigoma People's Community) Lengo kuu ni kuwaleta wan...

242 subscribers View

Jifunze Computer Na Simu ( I.T )

Bmtech ni channel inayokupa mafunzo na suluhisho la matatizo ya computer na simu...

237 subscribers View

UFUNUO CHANNEL

Karibu UFUNUO CHANNEL tunakusogezea mafundisho ya unabii kila wiki, pamoja na ma...

194 subscribers View

Posts

ALINIAMBIA MHENGA👇 Usimchague mtu kwa sababu ana...

ALINIAMBIA MHENGA👇 Usimchague mtu kwa sababu anakupenda sana, chagua mtu anayekufaa.* Mapenzi yana...

Jamal Runyenje Ogw

https://www.facebook.com/share/p/1AeuXokvgc/ FREE BREAST & CERVICAL CANCER SCREENING IN GITARAKA DI...

Jamal Runyenje Ogw

https://www.facebook.com/share/p/15d6koGRs8/ FREE TB SCREENING NEAR YOU Tell a friend to tell a f...

Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya British Airways, Boeing 787-8 Dreamliner, yapata hitilafu ya kiufundi ikiwa njiani kuelekea India. Ndege ya abiria ya British Airways aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa ikielekea Chennai, India, siku ya Jana Juni 15,2025 ililazimika kurejea Uwanja wa Ndege wa Heathrow jijini London baada ya kukumbwa na hitilafu ya kiufundi ikiwa angani. Ndege hiyo iliyokuwa ikifanya safari namba BA35, ilipaswa kuondoka Heathrow saa 6:40 mchana lakini ilichelewa na kuondoka saa 7:16 mchana (kwa saa za Uingereza) na Ilitarajiwa kufika Chennai saa 9:30 alfajiri (kwa saa za India). Kwa mujibu wa tovuti ya ufuatiliaji wa safari za ndege, Flightradar24, ndege hiyo ilibaki angani kwa karibu masaa mawili kabla ya kurejea salama Heathrow. Ingawa idadi kamili ya abiria waliokuwemo ndani ya ndege haijajulikana rasmi, video kadhaa zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha kuwa ndege hiyo ilikumbwa na tatizo kwenye moja ya sehemu za mabawa (flaps), hali iliyosababisha kurudi kwa dharura. Flightradar24 pia ilionesha kuwa ndege hiyo ilizunguka mara kadhaa angani kabla ya kutua. Katika taarifa iliyotolewa baadaye, British Airways ilithibitisha kuwa ndege hiyo ilitua salama na abiria wote pamoja na wafanyakazi walishuka salama bila matatizo yoyote. Hata hivyo, shirika hilo halikutoa maelezo ya kina kuhusu saa kamili ya kuondoka, muda halisi wa kuwa angani, au idadi ya watu waliokuwemo ndani. Tukio hili limetokea siku chache tu baada ya ajali mbaya ya ndege ya Air India Dreamliner huko Ahmedabad, India, ambapo watu 241 walifariki dunia tukio ambalo limezua taharuki kubwa kuhusu usalama wa ndege aina ya Dreamliner. Chanzo: First post #flightdiversion #boeing787dreamliner #britishairways✈️ #airindia #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK9MA9rtTap/?igsh=MXRkM2gzeDVsMnl3ZQ== *Ndege ya British Airways, Boein...

*Ombi Letu la Mwisho wa Wiki: Jumamosi, Juni 14, 2...

*Ombi Letu la Mwisho wa Wiki: Jumamosi, Juni 14, 2025* Ndugu zangu watafutaji ajira mpya / Bora za...

*DKT. NCHEMBA: RAIS WA AfDB DKT. AKINWUMI ADESINA ...

*DKT. NCHEMBA: RAIS WA AfDB DKT. AKINWUMI ADESINA NI MWANA THABITI WA AFRIKA* Waziri wa Fedha, Mhe....

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa m...

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani...

FAHAMU KUHUSU URAIBU WA KUTUMIA PESA KATIKA UNUNUZ...

FAHAMU KUHUSU URAIBU WA KUTUMIA PESA KATIKA UNUNUZI WA BIDHAA NA TIBA YA TATIZO HILO: Hii ni hali a...

*PEDRI WA BARCELONA AJA KUTALII TANZANIA ⚽* Nyota...

*PEDRI WA BARCELONA AJA KUTALII TANZANIA ⚽* Nyota wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Hispania Ped...

Kila Juni 13, ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ...

Kila Juni 13, ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uelewa kuhusu Ualbino. Mwaka huu 2025 Kaulimb...

🎯Kwa wale tuliowaacha Weka shilingi 7,500 Kesho n...

🎯Kwa wale tuliowaacha Weka shilingi 7,500 Kesho nitawapa mikeka miwili ili twende pamoja Rollover ...

Aviation Tanzania on Instagram: "Wanafunzi wa Shule ya Alpha wapelekwa Kenya kupata mafunzo ya urubani wakati wa likizo. Shule ya Sekondari ya @alphaschoolstz imewapeleka wanafunzi wake nchini Kenya kwa ajili ya kupata mafunzo ya urubani katika kipindi cha likizo ya mwezi wa sita. Hii ni sehemu ya mwendelezo wa somo la Aviation lililoanzishwa na shule hiyo mwezi Mei 2022 kwa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha Sita. Kupitia programu hii ya kipekee, wanafunzi hujifunza kwa vitendo urushaji wa ndege pamoja na kupata uzoefu na ujuzi wa kutosha katika sekta ya usafiri wa anga. Mafunzo haya yanajumuisha vipindi vya nadharia darasani pamoja na mazoezi ya kurusha ndege yanayofanyika moja kwa moja kwa vitendo. Programu hii inalenga kuwajengea wanafunzi msingi bora wa taaluma ya urubani na kuwaandaa kwa fursa mbalimbali ndani ya sekta ya anga, huku wakiendelea kufuata ndoto zao za kuwa marubani wa baadaye. #aviationtraining #alphaschool #futureaviators #aviationcareer #futurepilots #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK1r4EfNtRu/?igsh=bzQwbGUwM2R6a2l1 *Wanafunzi wa Shule ya Alpha wapelek...