Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #tamisemi

Posts

AjiraCoach inakukumbusha kama umesahau😁 *TUTORIAL...

AjiraCoach inakukumbusha kama umesahau😁 *TUTORIAL ASSISTANT* ni *DEGREE* na Taasisi za elimu zinata...

SERIKALI, GATES FOUNDATION KUIMARISHA USHIRIKIANO ...

SERIKALI, GATES FOUNDATION KUIMARISHA USHIRIKIANO SEKTA YA AFYA Serikali itaendelea kushirikiana...

SINGIDA: Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai ba...

SINGIDA: Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai baadhi ya Maafisa Utumishi na Ofisi ya Mkurugenzi ya...

TAMISEMI Form Five Selection 2025/2026

Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano 2025/2026 https://www.fursa.work/2025/06/tamisemi...

TBC DIGITAL on Instagram: "Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini ikiwa ni pamoja na kujenga uzio katika shule mbalimbali za msingi kwa kuzipa kipaumbele shule zenye watoto wenye mahitaji maalumu. Hayo yamesemwa bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalumu, Maimuna Ahmad Pathan aliyetaka kujua ni lini Serikali itajenga uzio kwa shule zilizopo maeneo hatarishi kwa kuwa shule nyingi za Mkoa wa Lindi hazina uzio. Katimba ameongeza kuwa kwa mwaka 2022/2023 hadi 2023/2024 Serikali imetoa shilingi bilioni 5.57 kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika shule 185 za watoto wenye mahitaji maalumu ikiwemo shule ya msingi Namakonde iliyoko Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa. Aidha, amesema shilingi milioni 105.57 zimetumika kujenga uzio katika shule za sekondari Lindi Wasichana na Nachingwea Wasichana ambapo Serikali Kuu na Mamlaka za Serikali za Mitaa zitaendelea kutenga fedha za ujenzi wa uzio kwa ajili ya usalama wa wanafunzi na mali za shule kadiri ya upatikanaji wa fedha. 📸✍🏾 @clementsilla #BungelaBajeti #Bungeni #TBCdigital #TBCupdates"

*Serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini ikiwa ni pamoja na kujenga uzio katika sh...

*WAZIRI MKUU:SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 43 ...

*WAZIRI MKUU:SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 43 KUIMARISHA MICHEZO SHULENI* _▪️Azindua mashindano...

SINGIDA: Mdau wa JamiiForums.com anadai Watumishi ...

SINGIDA: Mdau wa JamiiForums.com anadai Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama wanaoomba uham...

SERIKALI YAWEKA MKAKATI KUBORESHA UTOAJI ELIMU, HU...

SERIKALI YAWEKA MKAKATI KUBORESHA UTOAJI ELIMU, HUDUMA ZA AFYA Na WAF, Dodoma Katika juhudi za ku...

Form Five Selection 2025/2026 TAMISEMI - Elimu Forum

*Mikoa Yote 🗣️🗣️ Form Five Selection 2025/2026 TAMISEMI* Hapa👉🏼👉🏼https://elimuforum.com/form...

Form Five Selection 2025/2026 TAMISEMI - Elimu Forum

*Mikoa Yote 🗣️🗣️ Form Five Selection 2025/2026 TAMISEMI* Hapa👉🏼👉🏼https://elimuforum.com/form...

Form Five Selection 2025 TAMISEMI Official Release

*ORODHA RASMI YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2025* Soma zaidi 👇 https://jerasp.org/20...

TAMISEMI, Form five & College selection – June 2025

💥BREAKING NEWS: ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA K...