Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #cabincrew

Posts

Cabin Crew Recruitment Event | Nairobi, Kenya in Riyadh | Careers at Riyadh Air HQ

Cabin Crew Recruitment Event | Nairobi, Kenya at Riyadh Air. https://cabincrew-riyadhair.icims.com/...

గవర్నమెంట్ జాబ్స్: పవన్‌ హాన్స్‌ లిమిటెడ్‌లో ఉద్యో...

గవర్నమెంట్ జాబ్స్: పవన్‌ హాన్స్‌ లిమిటెడ్‌లో ఉద్యోగాలు #GraduateEngineerTrainee #cabincrew #PHLTD ht...

CABIN-CREW LAMNUNTHEM || LAST WISHES BY HER CABIN FRIEND || NG KIMBOINENG P HEART TOUCHING 😭😭🕊️

https://youtu.be/tgNGJSMyadQ?si=bpIVNJknOgs0Wv9Z Cabincrew Lamnunthem Singson Aloi te akon Lhah na ...

Qatar Airways Internship Programmes 2026 - Reign Gigs

Qatar Airways Internship Programmes 2026 🚨 https://reigngigs.com/qatar-airways-internship-programme...

Aviation Tanzania on Instagram: "Precision Air yatangaza kuanza muhula mpya wa mafunzo ya uhudumu wa ndege mwezi Juni. Shirika la ndege la @precisionairtz limetangaza kuanza rasmi muhula mpya wa kozi za wahudumu wa ndege (Cabin Crew) kuanzia Juni 16, 2025, ikiwa ni baada ya awamu ya 13 ya wahudumu wa ndege kuhitimu masomo yao Mei 30, 2025. Wahudumu waliohitimu wamepitia mafunzo ya kina yaliyowajengea uwezo katika maeneo mbalimbali kama vile taratibu za usalama wa abiria, huduma kwa wateja, mawasiliano bora na ujuzi mwingine muhimu unaowasaidia kuwa tayari kwa soko la ajira ndani na nje ya nchi. Kwa taarifa zaidi juu ya namna ya kujiunga na mafunzo haya, tembelea tovuti yao [www.precisionairtz.com](http://www.precisionairtz.com) au piga simu kupitia namba 0787 006 766. #cabincrew #airline #precisionair #pw #youarewhywefly #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DKTsdF4MpAj/?igsh=aGtnajExZmprNGZs *Precision Air yatangaza kuanza muhu...

Saudi Airlines Is Hiring – Take Your Career to New...

Saudi Airlines Is Hiring – Take Your Career to New Heights with SAUDIA! Ready to soar to new caree...

https://cabincrew-riyadhair.icims.com/jobs/2344/ca...

https://cabincrew-riyadhair.icims.com/jobs/2344/cabin-crew-recruitment-event-%7c-delhi%2c-india/job ...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katika safari za ndege, ulevi uliopitiliza kwa abiria unaweza kusababisha changamoto mbalimbali, ikiwemo usumbufu kwa wasafiri wengine na kuhatarisha usalama baadhi ya abiria waliopo ndani ya ndege. @dr.nasranassor, daktari wa wanaanga nchini, ameeleza kuhusu sheria za anga zinazohusu abiria wenye tabia zisizofaa safarini. Amebainisha kuwa abiria mlevi anayesababisha usumbufu na kero kwa wengine haruhusiwi kupanda ndege. Hata hivyo, abiria mwenye kiwango kidogo cha ulevi anaweza kuendelea na safari mradi hatosababisha usumbufu kwa wengine. Tazama mahojiano haya kamili kwenye YouTube channel yetu, Aviation Tanzania, kwa kubonyeza kiungo kilichopo kwenye bio. #aviationmedicine #cabincrew #aviationcareer #aviation #aviationlovers #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGnqo16NENc/?igsh=ZDVsbG15eWo1aDBn Katika safari za ndege, ulevi uli...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katika mahojiano na @dr.nasranassor daktari wa wanaanga nchini, ameorodhesha watu wanaozuiliwa kutumia usafiri wa anga kutokana na changamoto za kiafya walizonazo zinazoweza kuhatarisha usalama wa abiria wengine akiwemo mgonjwa mwenye changamoto ya afya ya akili. Tazama mahojiano haya kamili kwenye YouTube channel yetu, Aviation Tanzania, kwa kubonyeza kiungo kilichopo kwenye bio. #aviationmedicine #cabincrew #aviationcareer #aviation #aviationlovers #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGeBWS8tKLd/?igsh=MWh0b2N6eGU4eGxydA== Katika mahojiano na @dr.nasr...

*🔥Apply Now:🔥* https://unstop.com/jobs/cabincrew...

*🔥Apply Now:🔥* https://unstop.com/jobs/cabincrew-air-india-express-1410808?utm_source=WorrifyJobs&...

Aviation Tanzania on Instagram: "Daktari wa wanaanga nchini, @dr.nasranassor , ameeleza utaratibu rasmi kwa abiria mgonjwa anayepanga kusafiri kwa ndege. Alifafanua kuwa abiria hao wanapaswa kujaza fomu maalumu zinazopatikana katika mashirika mbalimbali ya ndege. Fomu hizo huwasaidia wahudumu wa ndege kutoa uangalizi wa karibu kwa mgonjwa katika kipindi chote cha safari yake. Tazama mahojiano haya kamili kwenye YouTube channel yetu, Aviation Tanzania, kwa kubonyeza kiungo kilichopo kwenye bio. #aviationmedicine #cabincrew #aviationcareer #aviation #aviationlovers #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGSkOvFNIj5/?igsh=MWR3aTZ2ejBhNHlvNw== Daktari wa wanaanga nchini, @...

Aviation Tanzania on Instagram: "Daktari wa Wanaanga Tanzania na muasisi wa @aerospace.medicaltz, @dr.nasranassor, ameeleza kuwa mtu yeyote aliyefanya upasuaji wa plastiki haruhusiwi kusafiri kwa ndege ndani ya siku saba, kwa sababu za usalama wa kiafya. Tazama mahojiano haya kamili kwenye YouTube channel yetu, Aviation Tanzania, kwa kubonyeza kiungo kilichopo kwenye bio. #aviationmedicine #cabincrew #aviationcareer #aviation #aviationlovers #aviatamedia #aviationtanzaniaupdates #AviationTanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DGQvTcMNmCU/?igsh=MW5mN3V2ODVyc3BlNQ== Daktari wa Wanaanga Tanzania ...