Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #habari

Channels

Swahili Times

Habari | Elimu | Burudani | [email protected] | Maoni ya wasomaji si mao...

785.4K subscribers View

Prime Minister Tanzania

Chaneli rasmi ya habari za Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. The ...

259.0K subscribers View

Wizara ya Afya Tanzania

Karibu kwenye ukurasa rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania katika mtandao wa Whatsap...

231.4K subscribers View

RFI Kiswahili

Karibu katika chaneli ya Radio France International, idhaa ya Kiswahili. Fuatili...

214.2K subscribers View

Dimbani Konekti

Kwa habari, uchambuzi na taarifa za kina za michezo na burudani kutoka kote duni...

206.5K subscribers View

Vice President Tanzania

Ukurasa wa Habari za Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

112.0K subscribers View

Chama Cha Mapinduzi Taifa

Chanel Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi. Chama Tawala Tanzania, Fuatilia Ukurasa h...

82.2K subscribers View

Ikulu Zanzibar

Chaneli rasmi ya habari za Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar

50.6K subscribers View

TheChanzo

Habari, karibu kwenye channel yetu. The Chanzo ni chombo cha habari kilichojikit...

37.5K subscribers View

Idara ya Habari - MAELEZO na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali

Chaneli rasmi ya Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania ~ Official channe...

32.7K subscribers View

VOA Swahili

#VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milio...

11.6K subscribers View

Tume ya Madini Tanzania

Karibu kwenye ukurasa rasmi wa Tume ya Madini ambayo ilianzishwa kwa mujibu wa ...

5.5K subscribers View

Posts

Serikali ya Marekani inafikiria kuongeza vikwazo v...

Serikali ya Marekani inafikiria kuongeza vikwazo vya kusafiri kwa kuweka zuio kwa raia wa nchi 36 – ...

nawaza njo izi habari...

nawaza njo izi habari

Ce vendredi 13 juin 2025, l'émission "Dialogue ave...

Ce vendredi 13 juin 2025, l'émission "Dialogue avec" va accueillir Me Moïse Nyarugabo, juriste, anci...

DAR: Klabu ya Simba imesema Serikali imeruhusu wat...

DAR: Klabu ya Simba imesema Serikali imeruhusu watumie Uwanja wa Mkapa kufanya mazoezi Juni 14, 2025...

*Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ime...

*Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeiruhusu Klabu ya Simba kuutumia Uwanja wa Benjamin...

Aviation Tanzania on Instagram: "”Blackbox” ya ndege ya Air India yapatikana katika eneo la ajali. Mamlaka za India zimethibitisha kupatikana kwa moja kati ya vifaa viwili vya kurekodi taarifa muhimu (black box) kutoka kwenye ndege ya Air India safari namba AI171, ambayo ilianguka muda mfupi baada ya kuanza kupaa siku ya Jana juni 12,2025. Taarifa kutoka chombo cha habari cha Hindustan Times zinaeleza kuwa kifaa hicho kilipatikana asubuhi ya Leo, ingawa bado haijafahamika kama ni kifaa cha kurekodi mazungumzo ya marubani (Cockpit Voice Recorder) au taarifa za kiufundi za ndege (Flight Data Recorder). Kifaa hicho kinatarajiwa kutoa mwanga kuhusu dakika za mwisho kabla ya ajali hiyo mbaya kutokea. Wachunguzi sasa wameanza kuchambua mabaki ya ndege hiyo aina ya Boeing Dreamliner katika juhudi za kubaini chanzo cha ajali iliyosababisha vifo vya watu 241 kati ya 242 waliokuwemo, na kuifanya kuwa ajali ya anga mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa zaidi ya muongo mmoja. Kwa sasa, chanzo halisi cha ajali hiyo hakijafahamika. Hata hivyo, wataalamu wa usalama wa anga wana matumaini kuwa uchambuzi wa black box hiyo utatoa taarifa muhimu zitakazosaidia kueleza kilichojiri ndani ya dakika chache baada ya ndege hiyo kupaa. Ripoti ya awali ya uchunguzi inatarajiwa kutolewa ndani ya siku chache zijazo. #planecrash #blackbox #planecrashinvestigation #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK1lkv7taQF/?igsh=M2Q5dWJoZDI1Yzg4 *”Blackbox” ya ndege ya Air India ya...

*DABI IPO PALE PALE ⚽ 👇* "Bodi ya Ligi Kuu Tanza...

*DABI IPO PALE PALE ⚽ 👇* "Bodi ya Ligi Kuu Tanzania tunaendelea na maandalizi [ya mchezo wa Dabi y...

"Bodi ya Ligi Kuu Tanzania tunaendelea na maandali...

"Bodi ya Ligi Kuu Tanzania tunaendelea na maandalizi [ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo], na ni matumain...

#Magazetiyaleo Habari Leo Ijumaa Juni 13, 2025...

#Magazetiyaleo Habari Leo Ijumaa Juni 13, 2025

Habari!! Wanahitajika walimu wanne wawili wa sayan...

Habari!! Wanahitajika walimu wanne wawili wa sayansi moja wa art na mmoja wa Elimu ya AWALI. Shule i...

Aviation Tanzania on Instagram: "Polisi Wathibitisha Hakuna Aliyenusurika Katika Ajali ya Ndege ya Air India. Polisi nchini India wamethibitisha kuwa hakuna mtu aliyenusurika katika ajali ya ndege ya Air India aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyotokea mchana wa leo, dakika chache baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Ahmedabad kuelekea London. Kwa mujibu wa mamlaka za usalama, ndege hiyo ilianguka kwenye jengo la bweni la Chuo cha Tiba cha B.J., karibu na uwanja wa ndege, na kusababisha vifo vya wanafunzi kadhaa waliokuwa ndani ya bweni hilo wakati wa ajali. Maafisa wa polisi wamesema kuwa eneo la tukio tayari limesafishwa kwa asilimia 70 hadi 80, na juhudi za kuwaokoa waliokwama zinaendelea. Shirika la habari la CNN News-18 limeripoti kuwa, sehemu ya ndege hiyo iliangukia moja kwa moja kwenye eneo la chakula la wanafunzi, likionyesha picha za mabaki ya ndege juu ya paa la jengo na moshi mzito ukifuka angani. Ndege hiyo ilikuwa ikielekea Uwanja wa Ndege wa Gatwick, kusini mwa London, ikiwa na abiria 230 na wafanyakazi wa ndege 12 (ambao wote wamepoteza maisha). Kwa mujibu wa Air India, abiria hao ni pamoja na raia 169 wa India, 53 Waingereza, 7 kutoka Ureno, na mmoja kutoka Kanada. Watoto 11 na watoto wachanga wawili. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Flightradar24, ndege hiyo ilitengenezwa mwaka 2013 na kuanza kuhudumu rasmi katika shirika la Air India mwezi Januari 2014. Rais wa Uingereza Keir Starmer na Mfalme Charles wote wametuma salamu za rambirambi, huku serikali ya Uingereza ikieleza kuwa inashirikiana kwa karibu na India kufuatilia tukio hilo na kuwasaidia raia wake waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alieleza majonzi yake kupitia ukurasa wake wa X akieleza kuwa ajali hiyo ni ya kuhuzunisha na anaungana kwa pamoja na familia zote zilizoathirika katika kipindi cha maombolezo. Kampuni ya Boeing imethibitisha kuwa inafuatilia kwa karibu tukio hili na imeanza kushirikiana na mamlaka za India kuchunguza chanzo cha ajali. Hii ni ajali ya kwanza inayohusisha vifo kwa ndege ya aina ya Dreamliner tangu ianze kutumika mwaka 2011. #planecrash #airline #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DKzUSkwNDdj/?igsh=MTIwdWdyazllYTlkeQ== *Polisi Wathibitisha Hakuna Aliy...

Mdau wa JamiiForums.com kwenye Jukwaa la Habari na...

Mdau wa JamiiForums.com kwenye Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko anasema vipaumbele vya Serikali...