Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #taxiway

Posts

*🛫 RTR Afternoon Paper — VT-SOP* *Part 2* WPC ...

*🛫 RTR Afternoon Paper — VT-SOP* *Part 2* WPC The examiner asked the candidate to draw the com...

*Part 2 Questions*📚 `WPC` (Chill guy) • Asked m...

*Part 2 Questions*📚 `WPC` (Chill guy) • Asked me to draw the full ILS and explain everything, inc...

etenders.gov.in

SigmaTenders: Bagdogra Airport Infrastructure Development Tender! ✈️🚧 Attention Airport Infrastruct...

Aviation Tanzania on Instagram: "Polisi wamdhibiti mwanaume aliyekuwa anakimbia katikati ya uwanja wa ndege wa Heathrow. Katika hali isiyo ya kawaida, mwanaume mmoja alizua taharuki kwa muda mfupi baada ya kuonekana akikimbia kwenye njia ya ndege (taxiway) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Heathrow mjini London. Tukio hilo lilitokea Juni 10 2025, na lilinaswa katika video na kituo maarufu cha Big Jet TV. Mwanamume huyo alionekana akiwa karibu na ndege ya shirika la Air Baltic kabla ya kuanza kukimbia kwenye njia ya ndege huku gari la uwanja wa ndege likimfuatilia. Wafanyakazi wa uwanja huo waliovaa mavazi ya usalama walimkimbiza na kufanikiwa kumkamata. Dakika chache baadaye, gari la Polisi wa Metropolitan liliwasili na kumchukua mtu huyo. Msemaji wa Uwanja wa Ndege wa Heathrow alithibitisha kuwa tukio hilo lilidhibitiwa haraka kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, na hakukuwa na ucheleweshaji wa safari wala athari kwa wasafiri. #airport #londonheathrowairport #taxiway #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DKtcCDXNSYR/?igsh=MXgzZXZuYW1ybWVjMw== *Polisi wamdhibiti mwaume ali...

Aviation Tanzania on Instagram: "Tazama picha ya Uwanja wa Ndege wa Iringa ulivyokuwa ukionekana katika miaka ya 1960, na namna unavyoonekana kwa sasa. Uwanja huo kwa sasa umeboreshwa kwa 98% na tayari umeanza kupokea ndege za mashirika mbalimbali, zikiwemo ndege za shirika la ndege la Air Tanzania. Maboresho ya uwanja huo yamejumuisha ujenzi wa njia ya kuruka na kutua ndege (Runway) yenye urefu wa mita 2,100 na upana wa mita 30, mnara wa kuongozea ndege, barabara ya maungio (taxiway), maegesho ya ndege, taa za kuongozea ndege, na jengo la muda la abiria.Maboresho hayo kwa ujumla yamegharimu kiasi cha shilingi bilioni 63.74. . #airport #aviationtanzania #iringaairport #avgeek #tanzaniaairport #tanzaniaairportsauthority #tanzania🇹🇿 #aviationtanzaniaupdates #aviata"

https://www.instagram.com/p/DGlavu7tDE3/?igsh=YmY0MHN3aHluYWpx Tazama picha ya Uwanja wa Ndege wa I...

Licitação concluída: obras de ampliação do Aeroporto de Barreiras devem começar em 2025 - Se Liga Barreiras - Compartilhando a notícia até você!

*LICITAÇÃO CONCLUÍDA: OBRAS DE AMPLIAÇÃO DO AEROPORTO DE BARREIRAS DEVEM COMEÇAR EM 2025* _Projeto p...

"Mradi huu ulisainiwa mwaka 2017 tulipambana mradi...

"Mradi huu ulisainiwa mwaka 2017 tulipambana mradi uanze lakini kwa sababu mbalimbali ulishindikana,...

Aviation Tanzania on Instagram: "Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Shinyanga Wagharimu Bilioni 44.8, kupokea ndege za Bombardier Q400. Mradi wa ujenzi wa uwanja wa Ndege, Shinyanga umetajwa kugharimu kiasi cha shilingi bilioni 44.8, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha miundombinu ya usafiri wa anga nchini. Mradi huu unajumuisha ujenzi wa njia ya kuruka na kutua ndege yenye urefu wa mita 2,200, maingilio ya ndege (Taxiway), maegesho ya ndege (Apron), na jengo la abiria. Hayo yameelezwa katika ziara ya waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, ambaye alibainisha kuwa mradi huo ulianza kutekelezwa mwanzoni mwa mwaka 2023 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutoa maelekezo mahsusi ya kuhusu utekelezaji wake. Prof Mbarawa alifafanua kuwa ingawa mkataba wa mradi huo ulisainiwa mwaka 2017, utekelezaji wake ulikumbwa na changamoto mbalimbali zilizochelewesha kuanza kwake hadi aliporejea katika wizara hiyo mwaka 2022 na kupokea maelekezo ya moja kwa moja kutoka kwa Rais kuhusu umuhimu wa kuanza kwa miradi ya viwanja vya ndege vya Shinyanga, Katavi, Kigoma, na Tabora. Kwa mujibu wa Mhandisi wa Mradi kutoka Tanroads, Donatus Binemungu, kiwanja hicho kitakuwa na uwezo wa kupokea ndege za ukubwa wa aina ya Bombardier Q400. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, alieleza kuwa kukamilika kwa uwanja huo kutachangia kukuza uchumi wa mkoa huo, hasa kupitia sekta ya usafirishaji wa madini yanayopatikana katika eneo hilo. . #airport #aviationtanzania #shinyanga #shinyangaairport #avgeek #tanzaniaairport #tanzaniaairportsauthority #tanzania🇹🇿 #aviationtanzaniaupdates #aviata"

https://www.instagram.com/p/DGVT70BtsK_/?igsh=MXFpazk1aWRkMWQzaA== *Ujenzi wa Uwanja wa Ndege Shin...

*OLODE 02 Session 2025* *Air Regulations* *Date: 1...

*OLODE 02 Session 2025* *Air Regulations* *Date: 19-02-2025* 1. Flight Duty Time for Flight Crew: ...

*OLODE 02 Session 2025* ✈️ *Air Regulation...

*OLODE 02 Session 2025* ✈️ *Air Regulation*📚 19-02-2025 1. Flight duty time for a flight ...

United Regional Jet slides off taxiway at an icy St. Louis Lambert Airport | CNN

A plane carrying 27 passengers, including crew, slid off the taxiway before coming to a stop at St. ...

A plane carrying 27 passengers, including crew, sl...

A plane carrying 27 passengers, including crew, slid off the taxiway before coming to a stop at St. ...