Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #airtanzania_atcl

Posts

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania is hiring for Cabin Crew and Captains. Air Tanzania Company Limited @airtanzania_atcl is inviting applications from qualified and experienced individuals to fill the following positions: Position: Captains (Q400) Number of Posts: 15 Position: Cabin Crew Number of Posts: 10 Interested candidates are encouraged to apply through the official recruitment portal: [https://recruitment.atcl.co.tz/](https://recruitment.atcl.co.tz/) The application deadline for all positions is 30 June 2025. #airline #airtanzania #aviationjobs #aviationcareer #airtanzania_atcl #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DLAU9u6N4-M/?igsh=M2ZqN3ZvcXV6dDBq *Air Tanzania is hiring for Cabin Cr...

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania CEO speaks on EU Airspace Ban at AviaDev conference. During a panel discussion at the AviaDev Conference held in Zanzibar on June 12, 2025, the CEO of @airtanzania_atcl addressed the airline’s inclusion on the EU’s list of banned carriers. He outlined the airline’s strategy to overcome the situation, which includes working closely with consultants to implement a corrective action plan and introducing new routes from other destinations. According to a statement from the European Commission, aviation safety experts from EU member states identified significant shortcomings within Tanzania’s civil aviation oversight. The assessment revealed that the Tanzanian civil aviation authority had not sufficiently ensured compliance with international safety standards. Key concerns included an inadequate number of qualified personnel, weak oversight of flight operations and aircraft airworthiness, as well as failure to fully implement standards set by the International Civil Aviation Organization (ICAO). As a result, Tanzania was added to the EU Air Safety List, which now includes 169 airlines from 19 countries. Alongside Tanzania, Suriname was also newly added to the list, which already features nations such as Afghanistan, Libya, Nepal, and Sudan. #airline #airtanzania #euairspace #europe #airtanzania_atcl #aviation #aviationtanzaniaupdates #aviationtanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DK_n6Bot_yD/?igsh=c2x3NDl1c2thMzJo *Air Tanzania CEO speaks on EU Ai...

Aviation Tanzania on Instagram: "Katika Mkutano wa Kimaendeleo ya sekta ya anga,Aviadev ,Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la ndege la @airtanzania_atcl Mhandisi Peter Ulanga ameeleza mipango ya hivi karibuni ya shirika hilo ikiwemo kuanzisha safari katika visiwa vya Pemba. #airline #airtanzania #routeexpansion #newaircraft #airtanzania_atcl #aviation #aviationtanzaniaupdates #aviationtanzania✈"

https://www.instagram.com/reel/DKzuwGFNhbb/?igsh=MXFpNmgydWtyMXJnaA== Katika Mkutano wa Kimaendeleo...

Aviation Tanzania on Instagram: "Job Opportunities at Air Tanzania @airtanzania_atcl is hiring, The national carrier has announced multiple job vacancies for qualified and passionate professionals to join its growing team in the aviation industry. Below are the available positions: Aircraft Maintenance Engineer II – 8 posts Planning & Development Engineer II – 22 posts Aircraft Technician II – 30 posts Aviation Security Assistant II – 4 posts Application deadline: June 17, 2025 Apply now via: [https://recruitment.atcl.co.tz/](https://recruitment.atcl.co.tz/) #airline #airtanzania #aviationjobs #aviationcareer #airtanzania_atcl #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DKeCfYAtSIt/?igsh=MmRubDV2NnVldnh3 *Job Opportunities at Air Tanzania* ...

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania yafanya safari maalum kuwasafirisha mahujaji 105 kuelekea Hijja Shirika la Ndege la Air Tanzania @airtanzania_atcl limefanya safari maalum, kuwasafirisha mahujaji 105 kuelekea mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, kwa ajili ya ibada ya Hijja ya mwaka huu. Kupitia taarifa rasmi, Air Tanzania imetoa shukrani za dhati kwa heshima waliyopewa na Baraza Kuu la Kiislamu kwa kulichagua shirika hilo kusafirisha mahujaji katika safari hiyo takatifu. Mwezi Machi mwaka huu, Shirika la Air Tanzania lilianza maandalizi ya kutumia ndege yake aina ya Boeing 737-9 kwa ajili ya kuwasafirisha waumini wa Kiislamu kwenda Saudi Arabia kwaajili ya ibada ya Hijja. Taarifa ya maandalizi hayo ilitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, machi 31 2025, alipohutubia Baraza la Eid lililofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Kwa wakati huo, Air Tanzania ilikuwa kwenye hatua ya kuomba vibali kutoka katika mamlaka husika ili kuanza rasmi safari hizo. #airlines #airtanzania_atcl #flywithairtanzania #hijja #aviationlovers #aviationtanzaniaupdates #aviationtanzaniaupdates #aviata"

https://www.instagram.com/p/DKSExbgMLMw/?igsh=MWlya2xmczg5cGVzYQ== *Air Tanzania yafanya safari maa...

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania yajipanga kuanza safari za ndani na nje ya nchi Katika maeneo haya. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la @airtanzania_atcl , Mhandisi Peter Ulanga, ametaja maeneo kadhaa ndani na nje ya nchi yanayohitaji kwa kiwango kikubwa huduma ya usafiri wa anga, akieleza kuwa tayari imeanza kuweka mipango kwa ajili ya kufanikisha huduma hizo. Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la TBC, Mhandisi Ulanga alisema kuwa ndani ya nchi, maeneo ya Musoma, Shinyanga na hasa Bukoba yanaonesha uhitaji mkubwa wa huduma za ndege na kubainisha kuwa Bukoba ndiyo eneo lenye mahitaji ya juu zaidi, huku serikali ikiwa tayari imewekeza katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya ndege katika maeneo hayo. Kwa upande wa safari za kimataifa, Mhandisi Ulanga alieleza kuwa taifa jirani la Msumbiji limeomba Air Tanzania kuanzisha safari zake kuelekea miji ya Maputo, Beira, Nampula na Pemba. Aidha, shirika hilo pia linaangazia uwezekano wa kuanzisha safari kuelekea visiwa vya Mayotte na Shelisheli, maeneo maarufu kwa vivutio vya utalii na biashara. Katika mipango yake ya ndani zaidi, Air Tanzania inatarajia kufungua safari za moja kwa moja kuelekea visiwa vya Pemba, Mafia na hifadhi ya Serengeti, hasa wakati wa msimu wa utalii, hatua ambayo inalenga kuimarisha utalii wa ndani na kuongeza mapato kwa taifa. Hadi sasa, Shirika la Ndege la ATCL linahudumia maeneo 14 ndani ya nchi. Katika bara la Afrika, linatoa huduma katika vituo 10, na nje ya Afrika linafika katika vituo vitatu. #routeexpansion #airline #airtanzania #airtanzania_atcl #aviationcareer #aviationlovers #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DJ_P3Qas5B2/?igsh=ZDNzY2o3cnBqb3Z4 *Air Tanzania yajipanga kuanza sa...

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania Yapunguza Ucheleweshaji wa Safari kutoka 80% hadi 10%. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Air Tanzania, Mhandisi Peter Ulanga, amesema shirika hilo limepunguza ucheleweshaji wa safari kutoka asilimia 80 hadi asilimia 10. Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la TBC, Mhandisi Ulanga amesema kupunguza ucheleweshaji wa safari ni miongoni mwa vipaumbele alivyoviweka tangu alipoingia katika nafasi ya uongozi, kwa lengo la kurejesha imani kwa abiria. Aidha, amesema kipaumbele kingine ni jitihada za kufufua ndege ambazo zilikuwa katika matengenezo kwa muda mrefu. #flightdelays #airline #airtanzania #airtanzania_atcl #aviationcareer #aviationlovers #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DJ8uejysz9H/?igsh=MTBvbTBiM3pwdW1meQ== *Air Tanzania Yapunguza Uchelewe...

Aviation Tanzania on Instagram: "”Ni Ndege Moja ya Air Tanzania Iliyopo Kwenye Matengenezo Kati ya 16” Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la @airtanzania_atcl , Mhandisi Peter Ulanga, amesema kuwa kwa sasa ni ndege moja pekee inayofanyiwa matengenezo ya muda mrefu, ambayo yanatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi Juni mwaka huu. Mhandisi Peter alieleza hayo katika mahojiano na Shirika la Habari la TBC, ambapo alisema kuwa ndege hiyo imekuwa katika matengenezo kwa kipindi cha miezi sita, huku ndege nyingine 15 zikiendelea kutoa huduma kama kawaida. Ameongeza kuwa matengenezo hayo yanafanyika hapa nchini kwa kushirikiana na wahandisi wa ndani pamoja na msaada wa wahandisi kutoka mashirika mengine pale unapohitajika. Kwa sasa ATCL ina jumla ya ya ndege 16 ambazo ndege hizo ni pamoja na ndege moja aina ya Dash 8-Q300, Dash 8-Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 737 Max 9 mbili, Boeing 787-8 Dreamliner tatu na ndege ya moja ya mizigo aina ya Boeing 767-300F. Video credit: TBC #airline #airtanzania #airtanzania_atcl #aviationcareer #aviationlovers #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/reel/DJ7LSNsMOdS/?igsh=dGdzeGg3OGYxYWF2 *”Ni Ndege Moja ya Air Tanzania I...