Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #utalii

Posts

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa m...

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani...

*CP WAKULYAMBA AFUNGA MAFUNZO YA WATUMISHI JESHI L...

*CP WAKULYAMBA AFUNGA MAFUNZO YA WATUMISHI JESHI LA UHIFADHI NA KUSISITIZA NIDHAMU NA UADILIFU KATIK...

Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tuzo za Dunia za Utal...

Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tuzo za Dunia za Utalii (World Travel Awards – WTA) kwa Afrika na Kanda...

*🌍 Ngorongoro National Park – Tanzania 🇹🇿* ➤ *...

*🌍 Ngorongoro National Park – Tanzania 🇹🇿* ➤ *Mahali*: Kaskazini mwa Tanzania, karibu na Arusha ...

*WAONGOZA UTALII WATOA KONGOLE KWA NCAA MABORESHO ...

*WAONGOZA UTALII WATOA KONGOLE KWA NCAA MABORESHO YA BARABARA KUELEKEA MSIMU WA UTALII.* Na Mwandi...

Serikali ya Syria imeweka kanuni mpya ya mavazi kw...

Serikali ya Syria imeweka kanuni mpya ya mavazi kwa wanawake katika fukwe za umma, ikiwataka kuvaa m...

TANZANIA NA CHINA KUONGEZA NGUVU KATIKA DIPLOMASIA...

TANZANIA NA CHINA KUONGEZA NGUVU KATIKA DIPLOMASIA YA UCHUMI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano ...

🌿 *Karibu Saadani National Park!* 🌊🦓 Hifadhi ...

🌿 *Karibu Saadani National Park!* 🌊🦓 Hifadhi pekee Tanzania inayokutanisha *pori la wanyama* na...

*Mwenyekiti wa Mawakala Wazawa wa Utalii Tanzania...

*Mwenyekiti wa Mawakala Wazawa wa Utalii Tanzania (TLTO) Samuel Diah ameahidi mawakala hao kuendele...

Bank of Tanzania (BoT) on Instagram: "BENKI KUU: WATALII KURUHUSIWA KULIPA KWA FEDHA ZA KIGENI Benki Kuu ya Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu Kanuni za Matumizi ya Fedha za Kigeni za Mwaka 2025, ikieleza kuwa malipo ya bidhaa na huduma kati ya wakaazi na wageni, wakiwemo watalii, yanaweza kufanyika kwa kutumia fedha za kigeni. Akizungumza katika mjadala uliofanyika kwenye Maonesho ya Karibu-Kilifair jijini Arusha tarehe 8 Juni 2025, Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Akaro, alifafanua kuwa hatua hiyo inalenga kuwezesha mazingira rafiki ya kibiashara kwa wageni na urahisi wa miamala katika sekta ya utalii. “Mawakala wa utalii ambao ni wakaazi, wanaruhusiwa kutumia fedha za kigeni kulipia huduma mbalimbali zinazotolewa kwa watalii kutoka nje ya nchi,”alisema. Alisisitiza kuwa malipo yote kati ya wakaazi lazima yafanyike kwa Shilingi ya Tanzania, na ni kosa kwa mtoa huduma yeyote kukataa malipo yanayofanyika kwa kutumia Shilingi ya Tanzania. Bw. Akaro aliongeza kuwa Kanuni hizi zimetungwa kwa mujibu wa Kifungu cha 26 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 2006, na zimeanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 28 Machi 2025. “Tangu kuanza kutumika kwa kanuni hizo, kumekuwa na matokeo chanya ikiwemo kuongezeka kwa ukwasi wa fedha za kigeni. Kwa mfano, miamala ya Dola za Marekani kwenye soko la fedha za kigeni la rejareja nchini imeongezeka kutoka wastani wa dola milioni 40 hadi milioni 69 kwa siku”, alisema. Vilevile, alibainisha kuwa, kutokana na kuongezeka kwa ukwasi wa fedha za kigeni, thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani imeimarika kwa kiwango kikubwa, na matarajio ni kwamba itaendelea kuimarika zaidi. “Hii ni kutokana na kuanza kwa msimu wa mapato ya fedha za kigeni, hususan kutoka kwenye sekta kama utalii, kilimo na mauzo ya bidhaa nje ya nchi, ambazo kwa kawaida huingiza fedha nyingi za kigeni katika kipindi hiki,”alisema. Benki Kuu ya Tanzania inaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi, ili kuhakikisha kwamba zinazingatiwa kwa manufaa ya uchumi wa taifa na ustawi wa sekta za kibiashara, hasa utalii."

BENKI KUU: WATALII KURUHUSIWA KULIPA KWA FEDHA ZA KIGENI Benki Kuu ya Tanzania imetoa ufafanuzi ku...

TLTO WAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA TRA ...

TLTO WAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA TRA Mwenyekiti wa Mawakala Wazawa wa Utalii Tanzania...

Globify Tours

*GLOBIFY TOURS* Explore | Enjoy | Experience 🗺️ Karibu *GLOBIFY TOURS*- Group Maalum kwa Wapenda ...