Find WhatsApp Channels
Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.
Channels & Posts for #mauzo
Posts
✅ *NAFASI ZA KAZI - SALES EXECUTIVE* 📍 *Kampuni...
✅ *NAFASI ZA KAZI - SALES EXECUTIVE* 📍 *Kampuni: LUMAC Tanzania* 🔹 Diploma au Degree ya Biash...
✅ *NAFASI YA KAZI: Sales Executive* 📍 *Lumac Ta...
✅ *NAFASI YA KAZI: Sales Executive* 📍 *Lumac Tanzania inahitaji mtu mwenye uwezo wa hali ya juu k...
#MAKAMBAKO Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo 19...
#MAKAMBAKO Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo 19 Juni, 2025 imeendelea na zoezi la utoaji elimu kw...
Bank of Tanzania (BoT) on Instagram: "Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa Benki Kuu, Bw. Emmanuel Tutuba, imefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. Ziara hiyo imefanyika tarehe 17 Juni 2025, ambapo Msimamizi wa Mradi, Mhandisi Kedrick Chawe, alieleza kuwa mradi huo unatekelezwa chini ya usimamizi wa TANROADS kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Ujenzi huo unajumuisha njia ya kuruka na kutua ndege (runway), jengo la abiria, jengo la kuongozea ndege, pamoja na miundombinu mingine muhimu. Kukamilika kwa uwanja huu kunatarajiwa kuchochea ukuaji wa sekta ya utalii, kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kurahisisha usafirishaji wa mizigo, na hivyo kuongeza mapato ya serikali. Aidha, mradi huu utaimarisha hadhi ya Dodoma kama mji mkuu na kuchangia kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi wa taifa. Katika hatua nyingine, Bodi hiyo ilitembelea Kiwanda cha kutengeneza mvinyo wa zabibu cha CETAWICO kilichopo Hombolo, jijini Dodoma, ambako walipokelewa na Mkurugenzi wa Masuala ya Shirika, Bi. Katherine Mwimbe. Alieleza kuwa uwepo wa kiwanda hicho umeleta manufaa makubwa ya kiuchumi na kijamii, ikiwemo kuongeza kipato cha wakulima wadogo kwa kununua zabibu zao na kutoa ajira kwa zaidi ya watu 5,000 katika sekta ya kilimo kupitia zao la zabibu. Kiwanda cha CETAWICO kinachangia kutangaza bidhaa za Tanzania katika soko la kimataifa kupitia mauzo ya mvinyo bora, hivyo kuimarisha mnyororo wa thamani wa kilimo na kuchochea maendeleo ya viwanda nchini. Ziara hizo za Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania katika miradi ya kimkakati na shughuli za kiuchumi zinawawezesha kupata uelewa wa kina kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo, changamoto zilizopo, na mchango wake katika kukuza uchumi wa taifa, ili kuwezesha maamuzi sahihi na yenye tija katika usimamizi wa sera ya fedha na maendeleo ya uchumi wa nchi."
Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa ...
#NJOMBE Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo 17 Ju...
#NJOMBE Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) leo 17 Juni, 2025 imeendelea na zoezi la utoaji elimu kwa M...
"Kutokana na juhudi ndogo ambazo tumeanza kuzifany...
"Kutokana na juhudi ndogo ambazo tumeanza kuzifanya katika kudhibiti magonjwa ya mifugo hapa nchini,...
Good morning team!!nahitaji watu wa mauzo mbeya na...
Good morning team!!nahitaji watu wa mauzo mbeya na morogoro wenye uzoefu wa mauzo usio pungua miaka ...
Anahitajika binti au kijana wa kiume Kazi: Muhudum...
Anahitajika binti au kijana wa kiume Kazi: Muhudumu Mahali;Upanga,Dar es salaam *Majukumu* 1. Kuk...
*Jinsi ya Kuchambua Historia ya Bei ya Bitcoin* ...
*Jinsi ya Kuchambua Historia ya Bei ya Bitcoin* Kuna njia kuu tatu: 1. *Technical Analysis (TA)* ...
#Ad Nafasi za kazi za watu wa mauzo kwa ajili ya k...
#Ad Nafasi za kazi za watu wa mauzo kwa ajili ya kufungua akaunti za wateja wapya wa NBC. VIGEZO: -...
Bank of Tanzania (BoT) on Instagram: "BENKI KUU: WATALII KURUHUSIWA KULIPA KWA FEDHA ZA KIGENI Benki Kuu ya Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu Kanuni za Matumizi ya Fedha za Kigeni za Mwaka 2025, ikieleza kuwa malipo ya bidhaa na huduma kati ya wakaazi na wageni, wakiwemo watalii, yanaweza kufanyika kwa kutumia fedha za kigeni. Akizungumza katika mjadala uliofanyika kwenye Maonesho ya Karibu-Kilifair jijini Arusha tarehe 8 Juni 2025, Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Akaro, alifafanua kuwa hatua hiyo inalenga kuwezesha mazingira rafiki ya kibiashara kwa wageni na urahisi wa miamala katika sekta ya utalii. “Mawakala wa utalii ambao ni wakaazi, wanaruhusiwa kutumia fedha za kigeni kulipia huduma mbalimbali zinazotolewa kwa watalii kutoka nje ya nchi,”alisema. Alisisitiza kuwa malipo yote kati ya wakaazi lazima yafanyike kwa Shilingi ya Tanzania, na ni kosa kwa mtoa huduma yeyote kukataa malipo yanayofanyika kwa kutumia Shilingi ya Tanzania. Bw. Akaro aliongeza kuwa Kanuni hizi zimetungwa kwa mujibu wa Kifungu cha 26 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 2006, na zimeanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 28 Machi 2025. “Tangu kuanza kutumika kwa kanuni hizo, kumekuwa na matokeo chanya ikiwemo kuongezeka kwa ukwasi wa fedha za kigeni. Kwa mfano, miamala ya Dola za Marekani kwenye soko la fedha za kigeni la rejareja nchini imeongezeka kutoka wastani wa dola milioni 40 hadi milioni 69 kwa siku”, alisema. Vilevile, alibainisha kuwa, kutokana na kuongezeka kwa ukwasi wa fedha za kigeni, thamani ya Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani imeimarika kwa kiwango kikubwa, na matarajio ni kwamba itaendelea kuimarika zaidi. “Hii ni kutokana na kuanza kwa msimu wa mapato ya fedha za kigeni, hususan kutoka kwenye sekta kama utalii, kilimo na mauzo ya bidhaa nje ya nchi, ambazo kwa kawaida huingiza fedha nyingi za kigeni katika kipindi hiki,”alisema. Benki Kuu ya Tanzania inaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu utekelezaji wa kanuni hizi, ili kuhakikisha kwamba zinazingatiwa kwa manufaa ya uchumi wa taifa na ustawi wa sekta za kibiashara, hasa utalii."
BENKI KUU: WATALII KURUHUSIWA KULIPA KWA FEDHA ZA KIGENI Benki Kuu ya Tanzania imetoa ufafanuzi ku...
Serikali Yamwaga Ajira Za Ualimu 1,714 , Fahamu jinsi ya kutuma maombi sifa na Vigezo hapa - zoteforum.com
*SERIKALI YAMWAGA AJIRA ZA UALIMU 1,714 , FAHAMU JINSI YA KUTUMA MAOMBI SIFA NA VIGEZO HAPA* **Wanah...