Aviation Tanzania 🇹🇿
Aviation Tanzania 🇹🇿
June 8, 2025 at 07:00 AM
https://www.instagram.com/reel/DKoSH0Pt-2f/?igsh=MTd5YnNsd204dnNyZw== *Flightlink yapanga kuanzisha safari za kwenda Mwanza baada ya kuongeza safari nchini Kenya.* Katika maonyesho ya @kilifair 2025, Mkurugenzi wa Shirika la Ndege la @flightlinktz , @munawerdhirani ameeleza namna shirika hilo lilivyojipanga kuongeza safari za ndani na nje ya nchi. Safari hizo ni pamoja na zile kati ya Uwanja wa Ndege wa Arusha na uwanja wa ndege wa Wilson zitakazozinduliwa tarehe 15 Juni 2025, pamoja na safari kati ya Zanzibar na Jomo Kenyatta zitakazoanza tarehe 1 Julai 2025. Aidha, Flightlink imepanga kuanzisha safari kati ya Mwanza na Kilimanjaro, zitakazozinduliwa ndani ya mwezi Julai. #airlines #routeexpansion #flightlink #aviationlovers #aviationcareer #atr72500 #aviationtanzania#aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates

Comments