Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #aviataupdates

Posts

Aviation Tanzania on Instagram: "Dubai yajenga uwanja wa ndege mkubwa zaidi duniani, utakaohudumia abiria milioni 260. Dubai inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege mkubwa zaidi duniani,unaojulikana kama uwanja wa ndege wa kimataifa wa Al Maktoum, ikiwa imewekeza kiasi cha dola za kimarekani bilioni 35. Mradi huu wa kisasa uliodhinishwa Aprili 2024 na mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid al-Maktoum,unajumuisha ujenzi wa jengo jipya la abiria, ambalo pia linajulikana kama Dubai World Central, sambamba na ujenzi wa njia tano za ndege (runways), kila moja ikiwa na urefu wa kilomita 4.5, ili kuruhusu ndege kuruka na kutua kwa wakati mmoja. Vilevile ujenzi wa njia zinazoelekea katika eneo la kupaki magari ambazo zitasaidia kupunguza msongamano na kuboresha muda wa mzunguko wa ndege. Aidha, vituo viwili vya uongozaji wa ndege (Air Traffic control) vitajengwa katika teknolojia ya kisasa, ili kuhakikisha usalama na ufanisi wa shughuli za anga. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Al Maktoum utakapo kamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 260 kila mwaka, ambayo ni mara tano zaidi kuliko uwezo wa sasa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai (DXB). Vilevile, utakapomalizika uwanja huo, Shughuli zote za ndege kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai (DXB) zitahamia kwenye Uwanja huo ifikapo mwaka 2035. Mradi huu unalenga kudumisha nafasi ya nchi ya Dubai kama kitovu cha kimataifa cha usafiri wa anga na kuweka mazingira bora kwa shughuli za anga za siku zijazo. . #dxb #dubai #almakhtoumairport #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata"

https://www.instagram.com/p/DGm2UjptyLi/?igsh=dnNubmc2Y3M4N3U0 *Dubai yajenga uwanja wa ndege mkub...

*Embraer delays E175-E2 to 2027, due to U.S. Pilot...

*Embraer delays E175-E2 to 2027, due to U.S. Pilot union rules.* Embraer has announced a further fo...

Aviation Tanzania on Instagram: "Miscommunication Leads to Near-Miss Incident at Chicago Midway Airport A serious runway safety incident occurred at Chicago Midway International Airport on Tuesday morning when a private jet crossed an active runway just as a Southwest Airlines flight was about to land. According to air traffic control (ATC) communications, the FlexJet Flight LXJ560 pilot was repeatedly instructed to "hold short" of Runway 31C but did not comply correctly. Instead, the private jet moved onto the live runway, creating a dangerous situation. At that moment, Southwest Airlines Flight WN2504 was descending for landing. To avoid a collision, the Southwest pilot quickly aborted the landing and performed a go-around. Despite repeated instructions, the private jet proceeded across the runway, prompting the Southwest pilot to take evasive action. . #atc #southwestairlines #safety #aircraft #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/reel/DGidNgotM3r/?igsh=MXZlZXFxNnRoNGNiMQ== *Miscommunication Leads to Ne...

Aviation Tanzania on Instagram: "FAA issues safety recommendations for Boeing 757-200 converted freighters. The Federal Aviation Administration (FAA) has advised all operators of certain Boeing 757-200 converted freighters worldwide to conduct a series of safety checks on the main deck cargo doors. This recommendation follows a significant incident in February 2021, where the main cargo door of a DHL-operated Boeing 757 opened mid-flight, leading to serious safety concerns. On February 13, 2021, a Boeing 757 converted freighter registered G-DHKZ departed from DHL’s European hub at Leipzig-Halle Airport (LEI) in Germany. Shortly after takeoff, the aircraft experienced a pressurization failure. The crew later discovered that the main deck cargo door had not latched correctly, resulting in its uncommanded opening at approximately 5,000 feet. The flight crew reported difficulties with the autopilot and chose to manually fly the aircraft back to Leipzig, landing safely about 20 minutes after takeoff. This incident is not isolated; a similar occurrence happened in 2014 involving a Boeing 757 converted freighter operated by Yakutia Airlines in Russia, where malfunctions led to the cargo door opening mid-flight. The FAA's recent Special Airworthiness Information Bulletin (SAIB) emphasizes the importance of inspecting the cargo door systems of 757 conversions performed by Precision Conversions LLC. Operators are instructed to check for contaminants, smudges, and other debris on viewport mirrors and windows. Additionally, they should examine latches and lock pins for any visible paint defects, and follow the appropriate cleaning and painting protocols if necessary. The FAA also highlights the need for crews to implement specific operational procedures in cold weather. This includes removing snow or ice from the cargo door and its mechanisms, as well as considering additional inspections during freezing fog or icing conditions. . #safety #boeing757200 #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviat"

https://www.instagram.com/p/DGfTL8otRAK/?igsh=MWFjYTdnbTYwcWJkdg== *FAA issues safety recommendatio...

Aviation Tanzania on Instagram: "Kwa wazazi wengi, yawezekana ni changamoto kubwa kupata muda wa kutosha kuwa na familia kutokana na majukumu mengi ya kikazi kila siku. Lakini kwa Racheal Kaur, mama mwenye asili ya India anayeishi nchini Malaysia, changamoto hii ameipatia suluhisho la kipekee ambapo husafiri kwa ndege kila siku kwenda kazini na kurudi nyumbani. Kaur, ambaye ni meneja msaidizi wa fedha katika kampuni ya ndege ya AirAsia, huamka saa 10 alfajiri na kuelekea uwanja wa ndege kwa safari ya saa moja kutoka Penang hadi Kuala Lumpur. Kufikia saa 1:45 asubuhi, anakuwa ofisini tayari kwa kazi. Jioni, hupanda ndege kurudi nyumbani, na hufika saa 2 usiku, muda mzuri wa kutumia na watoto wake wawili wenye umri wa miaka 12 na 11. Awali, Kaur aliishi Kuala Lumpur ili kuwa karibu na eneo la kazi, lakini kuwa mbali na familia kulimfanya afikirie upya mpangilio wake wa maisha ndipo mwaka 2024, alipoamua kuanza kufanya safari za ndege kila siku badala ya kukaa mbali na familia yake. Cha kushangaza ni kuwa, safari yake ya kilomita 350 kila siku sio tu kwamba imerahisisha uwiano wa kazi na familia, bali pia imemsaidia kupunguza gharama za maisha. Badala ya kulipa kodi ya nyumba na gharama za chakula katika mji wa Kuala Lumpur kiasi cha $474, sasa anatumia takriban $316 kwa mwezi. Pamoja na ratiba yake ngumu, Kaur anasema safari zake za ndege zinampa muda wa kipekee, akitumia fursa hiyo kusikiliza muziki na kutazama mandhari nzuri kutoka angani. Ingawa kazi ya mbali ingeonekana kuwa na suluhisho rahisi ambalo ni kufanyia kazinyumbani, lakini yeye alieleza kuwa anapendelea mazingira ya ofisini yanayomuwezesha kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa. Licha ya uchovu wa safari za kila siku, Kaur anasema kuwa kila kitu kinakuwa na maana anapofika nyumbani na kuwaona watoto wake. . #parentalcare #aviationtanzaniaupdates #airasia #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata"

https://www.instagram.com/p/DGfECpvto1G/?igsh=OTlwbnZ5bjE1bG1z *Mwanamke anayesafiri Km 350 kwa nde...

Aviation Tanzania on Instagram: "Copa Airlines Boeing 737 MAX held in air due to heavy rain at Guayaquil Airport. A Copa Airlines Boeing 737 MAX 9 flying from Panama City (PTY) to Guayaquil (GYE) in Ecuador had to wait in the air before landing because of heavy rain at Guayaquil Airport. This waiting process is called a holding pattern, where a plane flies in a loop near the airport until it gets clearance to land. While the aircraft was circling, someone on the ground pointed a laser at it for almost 20 minutes. Shining a laser at an airplane is extremely dangerous because the bright light can temporarily blind the pilots, putting the safety of the flight at risk. In the United States, pointing a laser at an aircraft is a serious crime under the FAA Modernization and Reform Act of 2012 (Public Law 112-95, Section 311). Anyone caught doing this can face fines of up to $11,000 per incident, and if they do it multiple times, the total fine can reach $30,800. Many other countries have similar strict laws because this act endangers both passengers and crew. . #weatheremergency #boeing737 #copaairlines #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviat"

https://www.instagram.com/p/DGcqUYUtgv2/?igsh=Yzd6b2pzN2FxNXZw *Copa Airlines Boeing 737 MAX held i...

Aviation Tanzania on Instagram: "Tazama Ndege za kivita za Jeshi la Anga la Italia, Eurofighter Typhoon, zikiimarisha ulinzi wa ndege ya American Airlines safari namba AA292 baada ya ndege hiyo kupokea tishio la bomu. Ripoti zisizo rasmi zimeeleza kuwa, kuwa bomu lingelipuka ikiwa ndege hiyo ingeshuka chini ya futi 10,000 wakati wa kushuka kuelekea Delhi. Kutokana na tahadhari, wahudumu wa ndege waliamua kugeuza mwelekeo wake walipokuwa wakiruka juu ya Bahari ya Caspian. Ndege hiyo, aina ya Boeing 787-9 Dreamliner (N480AN), iliyokuwa ikifanya safari kutoka New York kuelekea Delhi, ilikuwa imebeba zaidi ya abiria 280, ililazimika kutua katika Uwanja wa Ndege wa Fiumicino (FCO) huko Roma kwa usalama. Abiria wote waliokuwa ndani ya ndege hiyo walitolewa salama mara baada ya kutua. . #bombthreat #americanairlines #boeing7879 #eurofighertyphoon #airsafety #safety #aircraft #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/reel/DGcan4QtCpc/?igsh=bTlqOWI2OXU1OHow *Tazama Ndege za kivita za Jeshi...

Aviation Tanzania on Instagram: "Mwanafunzi anayesafiri kwa ndege hadi chuoni, kupunguza gharama za kodi ya nyumba. Katika jitihada za kupunguza gharama za maisha, TIm Chen mwanafunzi anayesomea sanaa katika chuo cha UBC nchini Canada amejiwekea utaratibu wa kusafiri kwa ndege kuelekea chuoni badala ya kupanga nyumba, utaribu huo ukiwa ni kwa lengo la kuepuka gharama kubwa za kodi ya nyumba katika mji wa Vancouver mahali ambapo kipo chuo anachosomea. Mwanafunzi huyu hutumia kiasi cha $1,200 kwa mwezi kwa safari za ndege, akifanya safari kutoka mji wa Calvary hadi Vancouver mara mbili kwa wiki. Kila safari humgharimu takriban $150, na hivyo kufanya jumla ya safari 8 kwa mwezi, tofauti na gharama ya kupanga nyumba ambayo inafikia $2,100 kwa mwezi. . #airpplanes #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviat"

https://www.instagram.com/p/DGbSSjit7q9/?igsh=MTNzNW5wb29xbm5mcw== *Mwanafunzi anayesafiri kwa ndeg...

Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya Air Tanzania aina Bombardier Q400 ikiwasili katika uwanja wa ndege Iringa siku ya jana Februari 22,2025 katika uzinguzi wa safari za Dar es Salaam-Iringa. Ndege hiyo iliwasili Iringa majira ya saa 3:45 asubuhi ikiwa na abiria 76, na kufanyiwa zoezi la "water salute" ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa safari hizo ambazo zimerejeshwa kwa mara nyingine baada ya kusitishwa kwa miaka mitano. . #Airlines #airtanzania #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/reel/DGZzadPN-MR/?igsh=MXVraW93dDNxdzY0ZQ== Ndege ya Air Tanzania aina Bo...

Aviation Tanzania on Instagram: "Air Tanzania yarejesha safari za Dar-Iringa baada ya kusitishwa kwa miaka mitano. Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) limerejesha safari zake za anga kati ya Dar es Salaam na Iringa baada ya kusitisha huduma hiyo kwa takriban miaka mitano tangu Juni 2020. Hatua hii inafuatia kukamilika kwa mradi wa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Iringa, uliogharimu takriban shilingi bilioni 63.742. Ukarabati huo, uliofanywa kwa ushirikiano kati ya Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), umekamilika kwa asilimia 95 na kuwezesha kuanza kwa safari hizo mara tatu kwa wiki. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, ameyabainisha hayo katika hafla ya uzinduzi wa safari hizo iliyofanyika leo Februari 22, 2025, mkoani Iringa. Nauli ya safari za Dar es Salaam-Iringa imetajwa kuwa ni shilingi 122,200 kwa safari moja kutoka Dar es Salaam hadi Iringa na shilingi 199,000 safari ya kwenda na kurudi. . #Airlines #airtanzania #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/p/DGYPP3kNRQz/?igsh=NHdwNm5hOWR6dmtp *Air Tanzania yarejesha safari za Da...

Aviation Tanzania on Instagram: "Grassland fire near JKIA quickly extinguished, Flights unaffected. A fire broke out on Wednesday evening in a grassland area surrounding Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). Emergency services responded swiftly, and the Kenya Airports Authority (KAA) assured the public that the incident did not affect flight operations or airport infrastructure. The fire ignited in the grassland along Airport North Road, raising concerns about potential disruptions. However, a coordinated effort by the KAA Airport Rescue & Fire Fighting Service, the Kenya Defense Forces (KDF), and the Nairobi County Fire Unit successfully contained the blaze before it could spread to critical airport zones. KAA confirmed that all airport activities, including flight schedules, passenger processing, and cargo handling, remained fully operational. There were no reported injuries or damage to airport facilities. This is not the first time JKIA has experienced a fire incident. On March 25, 2024, a fire caused by an electrical fault broke out at Terminal 1E, leading to a temporary shutdown of the terminal. The fire resulted in power outages affecting international arrivals, forcing operations to be redirected to Terminal 1A. However, the most significant fire in the airport’s history occurred on August 7, 2013. A massive blaze engulfed two of the three units in the main terminal building, causing the suspension of all flight operations. While no fatalities were recorded, two individuals suffered non-life-threatening injuries. Incoming flights were diverted to other regional airports as authorities worked to restore services. . #airport #jkia #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviat"

https://www.instagram.com/p/DGXmkpINfVa/?igsh=MTZqOG4wZ2J1NWp2bA== *Grassland fire near JKIA quick...

Aviation Tanzania on Instagram: "Chuo cha Mafunzo ya Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) kinatarajia kuanza awamu mpya ya mafunzo ya urushaji wa ndege nyuki (drones) kuanzia April, 8, 2025. Mafunzo haya yanalenga kuwapa washiriki ujuzi wa kitaalamu katika uendeshaji wa ndege zisizo na rubani, ambazo zinazidi kutumika katika sekta mbalimbali kama sekta ya usalama, kilimo, utafiti na usafirishaji wa mizigo midogo. Kwa mujibu wa CATC, mafunzo haya yatadumu kwa muda wa wiki nne na gharama ya ada ni Shilingi milioni 1.4 za Kitanzania. Mbali na gharama za ada, mshiriki atatakiwa kulipia gharama za vipimo vya kiafya ambavyo atatakiwa kuvifanya kabla ya kuanza mafunzo. Mafunzo haya yanatarajiwa kusaidia kuongeza idadi ya marubani wa ndege nyuki waliobobea, kuendana na maendeleo ya teknolojia ya anga nchini Tanzania. #aviationtraining #dronepilot #catctanzania #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviationcareer #aviationtanzania✈ #aviata #aviataupdates #aviatamedia #aviatatv"

https://www.instagram.com/p/DGXRyhftJbJ/?igsh=c2p4b280a3gyYngw *Chuo cha Mafunzo ya Usafiri wa Ang...